luckyline
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 15,021
- 21,263
Kweli niliachaga kuzila,ila nahisi kuna faida, kuna Dogo anatuletea kazini, akawa ananiomba kazi, nkamuuliza sambusa kwa Siku ukitoa matumizi unabaki na sh ngapi akasema 20000 nkamwambia baki huko huko, hiyo hela anayoipata hapa kwetu hawawezi kumpa. Na vile shule hana, sambusa zinalipa.Yupo kijijini huko watu hawazijui sambusa wanajuha miogo tu.!!Harafu wauza sambusa mnazingua mnasemaga ni za nyama mnajaza mavitunguu tele.