TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,592
Habari wana JF. Kuna jamaa yangu amemaliza diploma ya uhasibu ila unaenda mwaka wa tano sasa hajapata mchongo wowote wa kazi.
Yeye binafsi anahisi huko kijijini kwao Tanga huenda machizi wakawa wamemroga hasitoboe.
Binafsi nilifikiria nimshauri aende kwa mganga akasafishe nyota ila jamaa hataki kusikia habari za waganga.
Hapo ndipo nilipopata wazo la kumshauri aende kwa Mwamposa _"Bulldozer" akakanyage mafuta apate kufunguliwa vifungo. Au wadau mnasemaje? Au mchizi afanyaje ili aweze toboa maana game imekuwa ngumu?
Asanteni!
Yeye binafsi anahisi huko kijijini kwao Tanga huenda machizi wakawa wamemroga hasitoboe.
Binafsi nilifikiria nimshauri aende kwa mganga akasafishe nyota ila jamaa hataki kusikia habari za waganga.
Hapo ndipo nilipopata wazo la kumshauri aende kwa Mwamposa _"Bulldozer" akakanyage mafuta apate kufunguliwa vifungo. Au wadau mnasemaje? Au mchizi afanyaje ili aweze toboa maana game imekuwa ngumu?
Asanteni!