Ushauri jamani, anataka turudiane

Ushauri jamani, anataka turudiane

Mkuu sijaelewa bado tatizo 🙂. Lakin nahisi tatizo litakuja kubwa zaidii ukimrudia.Maana litaunganisha na machozi ya Clara.
 
Mwanaume gani huna msimamo eti bado nampenda mrudie tena afu muwe mna share na mwarabu na wengine na usije huku kulialia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom