The Professor
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 2,223
- 4,586
Nakuja mbele zenu wana JF ushauri wenu ni muhimu sana,
Nilikua na mpenzi wangu, nilimpenda sana toka moyoni, awali tulipendana sana, watu kibao waliisifia relation yetu, nilijiona kua miongoni mwa wanaume wachache wenye bahati ya kupenda na wakapendeka.
Lakini huwezi amini, baada ya kama miezi 11 hivi ya mahusiano yetu, mpenzi wangu alianza kubadilika, nilijipa moyo kua huenda anatingisha kiberiti kunipima kama bado nampenda.
Daanh hapo ndipo akili ziliponifunguka, kumbe nilivokua najiona kua miongoni mwa wanaume wachache wenye bahati nilikua najidanganya kwa sababu licha ya kumfanyia kila kitu mpenzi wangu aliniacha, sikumkosea wala siku cheat, niliumia sana, nilikua nampenda sana, nilihisi nataka nife kwa jinsi nilivyompenda.
Nikiwa katika maumivu yangu yasiyo na hata lepe la ahueni, msichana mwingine akatokea kunipenda, anaitwa Clara, kumbe nyuma ya pazia huyu michana alikua best yake na msichana wangu wa zamani, awali nilimkataa huyu msichana sabu nilianza kuchukia mapenzi lakini kwa jinsi alivyonijali nikajikuta namkubalia.
Muda wote yule msichana wangu wa zamani alikua anatoka na jamaa mmoja wa kiarabu ambaye alikua ana hadi gari ya kutembelea ya mshua wake, so baada ya ujo jamaa kumtumia msichana wangu wa zamani na kumchoka, amemuacha.
Sasa alivopigwa chini ndo ameanza kunitafuta anadai bado ananipenda, mara nyingi anakuja hadi home kunitafuta, mimi bado nampenda lakini namheshimu sana Clara naogopa kumuumiza sabu ananisaidia mambo mengi, yani uwepo wake umenifaidisha na kunijenga sana kifikra na kila kitu.
Naombeni mnishauri wadau
Nilikua na mpenzi wangu, nilimpenda sana toka moyoni, awali tulipendana sana, watu kibao waliisifia relation yetu, nilijiona kua miongoni mwa wanaume wachache wenye bahati ya kupenda na wakapendeka.
Lakini huwezi amini, baada ya kama miezi 11 hivi ya mahusiano yetu, mpenzi wangu alianza kubadilika, nilijipa moyo kua huenda anatingisha kiberiti kunipima kama bado nampenda.
Daanh hapo ndipo akili ziliponifunguka, kumbe nilivokua najiona kua miongoni mwa wanaume wachache wenye bahati nilikua najidanganya kwa sababu licha ya kumfanyia kila kitu mpenzi wangu aliniacha, sikumkosea wala siku cheat, niliumia sana, nilikua nampenda sana, nilihisi nataka nife kwa jinsi nilivyompenda.
Nikiwa katika maumivu yangu yasiyo na hata lepe la ahueni, msichana mwingine akatokea kunipenda, anaitwa Clara, kumbe nyuma ya pazia huyu michana alikua best yake na msichana wangu wa zamani, awali nilimkataa huyu msichana sabu nilianza kuchukia mapenzi lakini kwa jinsi alivyonijali nikajikuta namkubalia.
Muda wote yule msichana wangu wa zamani alikua anatoka na jamaa mmoja wa kiarabu ambaye alikua ana hadi gari ya kutembelea ya mshua wake, so baada ya ujo jamaa kumtumia msichana wangu wa zamani na kumchoka, amemuacha.
Sasa alivopigwa chini ndo ameanza kunitafuta anadai bado ananipenda, mara nyingi anakuja hadi home kunitafuta, mimi bado nampenda lakini namheshimu sana Clara naogopa kumuumiza sabu ananisaidia mambo mengi, yani uwepo wake umenifaidisha na kunijenga sana kifikra na kila kitu.
Naombeni mnishauri wadau