Ushauri: Huyu binti kumbe hajui kupika

Ushauri: Huyu binti kumbe hajui kupika

Duh ugali una mshinda na hapo mpo kwenye mahusiano,ukimuoa si atakup tabu,sasa km ugali una mshinda vingine ataviweza,piga chini huyo atakutia aibu
Akiwa mke, wageni wakija mnakaa wote jikoni, mume anapika yeye anapeleka chakula mezani, si ni mapenzi😳
 
Mpe nafasi ya kujifundisha kupika na siyo kumpiga chini. Mwambie kuhusu mapishi yake na uje na hiyo idea ya kujifunza kupika. Imempenda huyu mpaka unaona anastahili kuwa mkeo hivyo usikurupuke Mkuu.

Wakuu hivi juzi kati nimempata mchumba though hatujatambulishana kwa wazazi tumekua tukiibana kila mtu giza litakapomfikia analala kwa mwenzie.

Ngoja nije kwenye maada Nimekua nikila kwa mama Ntilie mda mrefu nikaamua ninunue bidhaa za vyakula ndani ili angalau akija Siku ya ijumaa aweze kupika na kweli alivyoona kila kitu kipo huyu binti alianza kupika taangu wiki iliyopita alipika wali umeshikana naona aliweka maji mengi sana nyama alizipika kwa mda mrefu imagine hata vipande vya nyama vyenyewe vilikua vinagawanyika kama Nyama iliyosagwa.

Kwa kweli niliona ni bahati mbaya japo ilikua Long dinner kwangu lakini weekend hii ndo nimegundua Kuwa kumbe hajui kupika totally alirudia kupika wali vile vile kwenye kula navunga nilivunga tuu kuonesha sijagundua chochote.


Leo kabla hajaondoka amepika ugali yaani unanata kwenye mkono haujaiva kabisa.

Nishaurini Jamii forum nataka nimpige chini huu ni mzigo kupika wali hata mimi sishindwi but huyu binti ambaye kamaliza chuo hivi karibuni inaonekana malezi yamemuharibu.
 
Akiwa mke, wageni wakija mnakaa wote jikoni, mume anapika yeye anapeleka chakula mezani, si ni mapenzi😳
Hahahah na wageni watakaa nani sttng rm?maan wenyej wote wapo jikoni,yan hapo mpige chini,sifa moja wapo ya mwanamk nikupika,shida ni kwamba hakutengenezewa mazingira mazuri ya kupend kujifunza kupik tangu utoto,ukute ht chai hajui kuchemsha,je wakij wakwe atawez kila siku kumsaidia kupika kisa mahabati,siku mwanaum kachelew kuludi lbd usiku jiko litanuna hd mume aludi....mmmmh hapana kujua kupik raha sana asante mama yng kwa malez mazuri wakat mwingin nilikuw naon km anatuonea kumbe alikuw anatufunz vzr
 
We si unajua kupika?? Ndio umfundishe sasa
 
Ushajua kuwa anachemka hivo akija tena pika mwenyew umwambie baby leo nakupikia mimi ili aone pishi lako lazima ataona aibu.Ila wakati unapika na yeye awe anaangalia na kukuandalia vitu.
Weekend nyingine unamuacha apike mwenyew akichemka tena wakati wa kupika kaa nae muwe mnasaidiana mbona atajua tu taratibu.
 
Wakuu hivi juzi kati nimempata mchumba though hatujatambulishana kwa wazazi tumekua tukiibana kila mtu giza litakapomfikia analala kwa mwenzie.

Ngoja nije kwenye maada Nimekua nikila kwa mama Ntilie mda mrefu nikaamua ninunue bidhaa za vyakula ndani ili angalau akija Siku ya ijumaa aweze kupika na kweli alivyoona kila kitu kipo huyu binti alianza kupika taangu wiki iliyopita alipika wali umeshikana naona aliweka maji mengi sana nyama alizipika kwa mda mrefu imagine hata vipande vya nyama vyenyewe vilikua vinagawanyika kama Nyama iliyosagwa.

Kwa kweli niliona ni bahati mbaya japo ilikua Long dinner kwangu lakini weekend hii ndo nimegundua Kuwa kumbe hajui kupika totally alirudia kupika wali vile vile kwenye kula navunga nilivunga tuu kuonesha sijagundua chochote.


Leo kabla hajaondoka amepika ugali yaani unanata kwenye mkono haujaiva kabisa.

Nishaurini Jamii forum nataka nimpige chini huu ni mzigo kupika wali hata mimi sishindwi but huyu binti ambaye kamaliza chuo hivi karibuni inaonekana malezi yamemuharibu.
Labda nawe humpendi tu mbona hilo ni tatizo dogo mfundishe pole pole ataelewa tu.
 
Kama unampenda mpeleke couse ya mapishi miezi 3 tu.


Swissme
 
Labda km nae hapendi kupika ila vinginevyo mfundishe tu taratibu
 
chuo hajui kupika? hata kufua Hugo hawezi mwache mapems
 
Wakuu hivi juzi kati nimempata mchumba though hatujatambulishana kwa wazazi tumekua tukiibana kila mtu giza litakapomfikia analala kwa mwenzie.

Ngoja nije kwenye maada Nimekua nikila kwa mama Ntilie mda mrefu nikaamua ninunue bidhaa za vyakula ndani ili angalau akija Siku ya ijumaa aweze kupika na kweli alivyoona kila kitu kipo huyu binti alianza kupika taangu wiki iliyopita alipika wali umeshikana naona aliweka maji mengi sana nyama alizipika kwa mda mrefu imagine hata vipande vya nyama vyenyewe vilikua vinagawanyika kama Nyama iliyosagwa.

Kwa kweli niliona ni bahati mbaya japo ilikua Long dinner kwangu lakini weekend hii ndo nimegundua Kuwa kumbe hajui kupika totally alirudia kupika wali vile vile kwenye kula navunga nilivunga tuu kuonesha sijagundua chochote.


Leo kabla hajaondoka amepika ugali yaani unanata kwenye mkono haujaiva kabisa.

Nishaurini Jamii forum nataka nimpige chini huu ni mzigo kupika wali hata mimi sishindwi but huyu binti ambaye kamaliza chuo hivi karibuni inaonekana malezi yamemuharibu.
kama mambo mengine yuko poa mfano maadili,upendo,uvumilivu nk yuko poa hamna haja ya kumpiga chini,mpeleke vyuo vya mapishi! unaweza mpata anayejua kupika lkn akawa anawabeza ndugu zako nk,no one is perfect
 
Wakuu hivi juzi kati nimempata mchumba though hatujatambulishana kwa wazazi tumekua tukiibana kila mtu giza litakapomfikia analala kwa mwenzie.

Ngoja nije kwenye maada Nimekua nikila kwa mama Ntilie mda mrefu nikaamua ninunue bidhaa za vyakula ndani ili angalau akija Siku ya ijumaa aweze kupika na kweli alivyoona kila kitu kipo huyu binti alianza kupika taangu wiki iliyopita alipika wali umeshikana naona aliweka maji mengi sana nyama alizipika kwa mda mrefu imagine hata vipande vya nyama vyenyewe vilikua vinagawanyika kama Nyama iliyosagwa.

Kwa kweli niliona ni bahati mbaya japo ilikua Long dinner kwangu lakini weekend hii ndo nimegundua Kuwa kumbe hajui kupika totally alirudia kupika wali vile vile kwenye kula navunga nilivunga tuu kuonesha sijagundua chochote.


Leo kabla hajaondoka amepika ugali yaani unanata kwenye mkono haujaiva kabisa.

Nishaurini Jamii forum nataka nimpige chini huu ni mzigo kupika wali hata mimi sishindwi but huyu binti ambaye kamaliza chuo hivi karibuni inaonekana malezi yamemuharibu.
no comment brother!!
 
Nimesoma comments nimesikitishwa wadada/wanawake wanateteana sana kwa mtu anayejua kuchemsha maji tuu at least wanaume wametoa mawazo ya kiume.
 
Wakuu hivi juzi kati nimempata mchumba though hatujatambulishana kwa wazazi tumekua tukiibana kila mtu giza litakapomfikia analala kwa mwenzie.

Ngoja nije kwenye maada Nimekua nikila kwa mama Ntilie mda mrefu nikaamua ninunue bidhaa za vyakula ndani ili angalau akija Siku ya ijumaa aweze kupika na kweli alivyoona kila kitu kipo huyu binti alianza kupika taangu wiki iliyopita alipika wali umeshikana naona aliweka maji mengi sana nyama alizipika kwa mda mrefu imagine hata vipande vya nyama vyenyewe vilikua vinagawanyika kama Nyama iliyosagwa.

Kwa kweli niliona ni bahati mbaya japo ilikua Long dinner kwangu lakini weekend hii ndo nimegundua Kuwa kumbe hajui kupika totally alirudia kupika wali vile vile kwenye kula navunga nilivunga tuu kuonesha sijagundua chochote.


Leo kabla hajaondoka amepika ugali yaani unanata kwenye mkono haujaiva kabisa.

Nishaurini Jamii forum nataka nimpige chini huu ni mzigo kupika wali hata mimi sishindwi but huyu binti ambaye kamaliza chuo hivi karibuni inaonekana malezi yamemuharibu.
Mkuu bora huyo anaweza kujifunza kuliko wale wapaka rangi za mikono na nywele bandia. bora huyo tofali kuliko ukuta mzima mwambie tu mapishi yake mazuri lakini anatakiwa ajitahidi tu kidogo. hakuna mwanamke mkamilifu katika ulimwengu huu kaka.
 
Back
Top Bottom