not found 404
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 322
- 177
- Thread starter
- #61
I m comingNjoo PM.
I m comingNjoo PM.
Asante sana mkuuNi kwa nini waTZ tunapenda kuweka mzaha au utani kwenye kila jambo? Kama huwezi kumsaidia afadhali usiandike chochote. Ninavyoona huyu jamaa anahitaji ushauri au mawazo kama kuna mtu ameshapitia hali kama hii.
OkHuna lolote hebu sema tukusaidie kulipa deni lako mm nitakulipia 7M....
![]()
![]()
halafu unanipa mkeo tukubaliane kabisa....
Mamamaaaaaaeeeeeee khaaaaa huku kuumizana yaaani umekopa milioni sita marejesho milioni 14 na wewe ukaweka signature kukubali aseeeeee.... Hiyo riba si 80%!!??....manina walahiAsante mkuu, walinipa mil. 6m kwa 72 months, washakata miezi kama 24, je kam nataka kulila inaweza kuwa zaid ya nusu ya deni linaloonekana,? Maana nataka kusafisha slip yng, Nimeuza kiwanja cha biashara nataka niwalipe ndg.
Ila waswahili wa wapi hawana tabu?YANI WEWE UNAULIZA MSAADA HAPA, WANA JAMII FORUM HUWA TUNA LOG IN KWENYE SYSTEM YA ABC BANK? SI UENDE, AISEE WASWAHILI WA MSOGA MNA TABU SANA!