Ushauri: Deni langu Banc ABC limeanza upya

Ushauri: Deni langu Banc ABC limeanza upya

not found 404 taarifa za mkopo huwa zinaenda hadi BOT na bank nyingine hivyo watafanya ukose mikopo sehemu nyingine, kuna jamaa wanadeal na taarifa zako za mikopo nione inbox kwa msaada zaidi.
 
ukilipa kwa mara moja kama hawana magumashi watakupa discount kubwa unaweza kusev 2m maana mteja anayelipa kwa mda mrefu hulipa kingi kuliko mda mfupi
 
ukilipa kwa mara moja kama hawana magumashi watakupa discount kubwa unaweza kusev 2m maana mteja anayelipa kwa mda mrefu hulipa kingi kuliko mda mfupi
Kwahyo if wananidai 14m niwalipe 12-10-9? Hata kama miez 72 haijafika mkuu, naana ndo kwanz inetimia 24 months
 
Nenda ofisini kwao!! Abali za poto system error
 
Tafuta mtu mjuzi wa hesabu hizi za kibenki, kama wamekosea na kukuongozea deni ama riba Basi you can negotiable NA hata kuwachukulia hatua ya kuwashtaki kwa kutumia system kimakosa, hili linaweza kukupa power ya kurenegotiate the interest NA sio the principal amount of loan. Be tough and smart, a good lawyer can be a very good support
 
Kwahyo if wananidai 14m niwalipe 12-10-9? Hata kama miez 72 haijafika mkuu, naana ndo kwanz inetimia 24 months
Mjomba hao watakupa pressure mpaka umalize miezi 72 huko hoi.!!Siku nyingine usikope kwenye hizo Benki uchwara utakufa na ufukara.sasa mil 6 unalipaje mil 14?na ukizembea utalipa mil 21 maana mi nawajua hao walichowafanya watumishi wengi..Bayport,platinum and comp.
 
Tafuta mtu mjuzi wa hesabu hizi za kibenki, kama wamekosea na kukuongozea deni ama riba Basi you can negotiable NA hata kuwachukulia hatua ya kuwashtaki kwa kutumia system kimakosa, hili linaweza kukupa power ya kurenegotiate the interest NA sio the principal amount of loan. Be tough and smart, a good lawyer can be a very good support
Asante mkuu
 
Mjomba hao watakupa pressure mpaka umalize miezi 72 huko hoi.!!Siku nyingine usikope kwenye hizo Benki uchwara utakufa na ufukara.sasa mil 6 unalipaje mil 14?na ukizembea utalipa mil 21 maana mi nawajua hao walichowafanya watumishi wengi..Bayport,platinum and comp.
Haya makampuni haya ni bas tu tunapenda shortcuts
 
una ka mshahara kadogo sana, yaani miaka 6 unalipa mil.14??? hyo ilibidi iwe at least miaka miwili tu au mmoja na nusu
 
Asante mkuu, walinipa mil. 6m kwa 72 months, washakata miezi kama 24, je kam nataka kulila inaweza kuwa zaid ya nusu ya deni linaloonekana,? Maana nataka kusafisha slip yng, Nimeuza kiwanja cha biashara nataka niwalipe ndg.
we piga hesabu umeshalipa sh ngapi......iliyobaki walipe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom