Ushauri: Biashara maeneo ambayo hakuna umeme wa TANESCO

HPAUL

JF-Expert Member
Jan 18, 2011
410
567
Nina vifaa vya solar ambayo vinaweza kuzalisha umeme wa Watts 400 ambao unatosha kuanzisha kituo cha Biashara ya kuchaji simu, kuonyesha TV/Video, kinyozi nywele, kuchapa barua na kuingiza miziki kwenye simu. Ushauri ninao omba ni kufahamu kijiji/trading centre ninayoweza kufanya biashara hii hususani ambapo umeme wa TANESCO haujafika kati ya mkoa wa Dar es Salaam au Pwani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…