mkuu icho ndo nachohofia ndomana najiweka mbali na mali za watuUtapumuliwa kisogoni ww shaulilako
mmmhDuuuh maisha haya sijui hata niandike vp ila huyo dada anachokitafuta atakipata
dah kweli nimekupata kiongozi shukran kwa kunifunuwa mawazoMara nyingi kwenye michezo ya hatari tuichezao na hao viumbe lazima tuwashikie akili zao vinginevyo watakupeleka shimoni.
Umenifariji mkuu nilidhani niko peke yangu ,na ntafata nyao zako mkuuHayo mbona hata Mimi yalinikuta ila nilimwambia kitu kimoja TU kwamba akifikisha miaka kumi anitafute nitajua nifanye nini na hata siwezi kusogelea huko kwake coz Mtoto ni copy yangu
asante sanaIla hata hilo lina suluhisho jepesi, mwambie we umeshaoa hautaweza kumwacha mkeo, kwanza hilo then kuusu hayo ayatakayo kwa mwanae mwambie kwanza amjulishe mumewe kuwa mtoto si wake ili we uwe nae huru, najua atashindwa na hiyo kero itakutoka kihivyo.
hahahaha mkuu acha kutia mbwembwe hayaga mmoja ayoatakuwa kama NAINAI.................
Atakapoifikisha hiyo miaka 10 kipi utakachokifanya? Naona kama umelihairisha tu tatzo mkuu, embu shea nami utakachokifanya.
haya mambo hata zamani yalikuwepo ila tofauti ya zamani na sasa saiv yako wazi sana nilishakaa na wazee nikawauliza ivi ni sisi tu au hata nyie ,mzee mmoja alinijibu hata wao walikuwa wanateleza ila kilichowasaidia walikuwa wanabusara na wasiri sana ,inamana waliyamaliza bila watu kujuwa ,ila sisi wa sasa hatuna siri kabisaKila ukipita humu unazidi tu kupata negative hopes za mapenzi, sasa hapa huyo Mme MTU akija kujua unadhani nini kitafata!!!
Tuombee kizazi chetu kijacho!!
nashkuru sana mkuuHapa bila kua mkali na kumwonyesha msimamo atakuyumbisha atakavyo
asante sana mkuu kwa ushauriiiNikwel mtoto angekuwa wakwako ila sasa sio wakwako so kaa nae mbali kuepusha shali naukizingatia wote wawili mpo kwenye ndoa
hahahahaHaaaaaah haaaaaah ....mkuu umenifanya nicheke kwa sauti...heeeeeh maisha yana mengi wajemeni!
umeona eee ni shida kwa kweliDah!
Wanawake hawa!
hahahaha mbavu zangu ,ila ndo ikogo ivyoo unapewa manjonjo yote ili usilete shidaCha mwagano inaelekea kilinoga.
huo ni mtazamo wako mkuu ila kaa ukijua matatizo hayana mmoja na hakuna alokamilika kila mtu anakosea ,kumtukana mtu hakufuti kosaBora umejiwahi kusema hutaki matusi maana hakika ndio unachostahili
Endelea kujichunga sana mkuu mwambie utaki mazoeamkuu icho ndo nachohofia ndomana najiweka mbali na mali za watu