Wanajamii,
Naombeni ushauri nataka kumpeleka mwanangu kati ya shule hizi kuanza darasa la kwanza (grade 1) - Al Muntazir Boys Primary au St. Laurent Primary.
Ipi shule nzuri kati ya hizi mbili, au shule nyingine unayodhani ni nzuri kulingana na experience yako
Shukran
Naombeni ushauri nataka kumpeleka mwanangu kati ya shule hizi kuanza darasa la kwanza (grade 1) - Al Muntazir Boys Primary au St. Laurent Primary.
Ipi shule nzuri kati ya hizi mbili, au shule nyingine unayodhani ni nzuri kulingana na experience yako
Shukran