Ushauri - al muntazir au st laurent primary schools

Ushauri - al muntazir au st laurent primary schools

Ayster

Member
Joined
Nov 19, 2012
Posts
42
Reaction score
8
Wanajamii,

Naombeni ushauri nataka kumpeleka mwanangu kati ya shule hizi kuanza darasa la kwanza (grade 1) - Al Muntazir Boys Primary au St. Laurent Primary.

Ipi shule nzuri kati ya hizi mbili, au shule nyingine unayodhani ni nzuri kulingana na experience yako

Shukran
 
kwa experience yangu........mmmmh......
mi nilisoma St kayumba.........tafuta kama hiyo......zipo nyingi......mtoto anajifunza kufagia na kunyweshea maua........
 
kwa experience yangu........mmmmh......
mi nilisoma St kayumba.........tafuta kama hiyo......zipo nyingi......mtoto anajifunza kufagia na kunyweshea maua........
Kwanini wanawake hampendani
 
Wanajamii,

Naombeni ushauri nataka kumpeleka mwanangu kati ya shule hizi kuanza darasa la kwanza (grade 1) - Al Muntazir Boys Primary au St. Laurent Primary.

Ipi shule nzuri kati ya hizi mbili, au shule nyingine unayodhani ni nzuri kulingana na experience yako

Shukran
Feza boy
 
Wanajamii,

Naombeni ushauri nataka kumpeleka mwanangu kati ya shule hizi kuanza darasa la kwanza (grade 1) - Al Muntazir Boys Primary au St. Laurent Primary.

Ipi shule nzuri kati ya hizi mbili, au shule nyingine unayodhani ni nzuri kulingana na experience yako

Shukran
Hiyo ya kwanza ni nzuri ila sijafatilia matokeo yao miaka 5
 
kwa experience yangu........mmmmh......
mi nilisoma St kayumba.........tafuta kama hiyo......zipo nyingi......mtoto anajifunza kufagia na kunyweshea maua........
Hivi umesoma huu uzi wa mwaka gani?
Miaka 8 iliyopita.
 
Hivi umesoma huu uzi wa mwaka gani?
Miaka 8 iliyopita.
Wewe ndio wakuulizwa mkuu

Mwenzio alichangia huu uzi 2013 na wewe unamjibu kwa kumuuliza 2021 tatizo lipo kwako

Hata huyo dogo aliytafutiwa shule atakuwa kidato Cha kwanza au pili
 
Back
Top Bottom