USHAURI: 63" Hisense Vs 55" Samsung

USHAURI: 63" Hisense Vs 55" Samsung

Mkuu mimi binafsi sioni kama kuna matunzo ya ziada ninayoyafanya, nikiitundika ukutani imetoka hiyo sansana huwa inafutwa vumbi tu kama tunavyofanyaga kwenye Tv ya aina yoyote.
Labda anunue tu TV Guard/Stabilizer mnaita sijui
 
Naona watu wanaponda tu hapa wakati kuharibika kwa TV zao wakati mwingine ni shida ya umeme mchafu wa Bongo...

Hisense, TCL, Haier, Skyworth, Changhong, Konka hizi ni brands kubwa China, tuliowahi ishi China tunazijua ubora wake...

Hawa wote ni wakongwe na wamekuwepo toka miaka ya 80 enzi za TV za kichogo...

Utofauti ni kwamba brands kama LG, Sony, Samsung zina umaarufu kwa sababu ya kutengeneza si TV tu...
 
Mimi nimenunu Hicence ina mwaka sijaoona hata hitilafu yo yote! Iko vizuri sana.
 
Naona watu wanaponda tu hapa wakati kuharibika kwa TV zao wakati mwingine ni shida ya umeme mchafu wa Bongo...

Hisense, TCL, Haier, Skyworth, Changhong, Konka hizi ni brands kubwa China, tuliowahi ishi China tunazijua ubora wake...

Hawa wote ni wakongwe na wamekuwepo toka miaka ya 80 enzi za TV za kichogo...

Utofauti ni kwamba brands kama LG, Sony, Samsung zina umaarufu kwa sababu ya kutengeneza si TV tu...
Mkuu Samsung na LG ndio producer wakubwa kabisa wa display, iwe ni Oled, mini led, micro led, Qled etc wao ndio pioneer.

Kama unataka Display kali huna ujanja ni wao wawili,

Hawa wengine wengi wanatengeneza value for money TV na sio premium.
 
Mwisho wa matatizo.
Screenshot_20220728-131854~2.jpg
 
Sasa ndugu Chief-Mkwawa hizo taarifa za tv ukifika dukani unamuuliza muuzaji au unampatia au unazikuta kwenye box? Kwa vitu kama simu unaenda dukani umeshajua kabisa kuwa nachukua iphone fulani na ukifika unamwambia tu kwa tv naona mambo memgi mara 2k mara QLED mara resolutions nk
 
Sasa ndugu Chief-Mkwawa hizo taarifa za tv ukifika dukani unamuuliza muuzaji au unampatia au unazikuta kwenye box? Kwa vitu kama simu unaenda dukani umeshajua kabisa kuwa nachukua iphone fulani na ukifika unamwambia tu kwa tv naona mambo memgi mara 2k mara QLED mara resolutions nk
Mkuu vitu kama tv ama laptop ngumu ku recomend kwa model, unatakiwa ufahamu specification, Kikawaida dukani wanatakiwa wafahamu hivi na vitolewe kwa wateja ila kibongo bongo haya mambo hayafanyiki.

Vyema nenda na simu dukani chukua model google, full model kule nyuma.
 
Mkuu vitu kama tv ama laptop ngumu ku recomend kwa model, unatakiwa ufahamu specification, Kikawaida dukani wanatakiwa wafahamu hivi na vitolewe kwa wateja ila kibongo bongo haya mambo hayafanyiki.

Vyema nenda na simu dukani chukua model google, full model kule nyuma.
Ahsante mkuu umeniambia jambo la maana. Kwahiyo uma recomend model zipi kwa sasa ambazo ni smart tv
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom