snayper
JF-Expert Member
- Sep 21, 2017
- 302
- 218
- Thread starter
- #81
hahahah sio kama sikutaka ni makubaliano si unajua ile upo na mtu ambae una malengo nae unakuwa huna papara sanaUsifikirie kuwa ni kweli huyo demu wako alikuwa hataki dyu dyu
na wewe kama kweli hukutaka kabisa dyudyu katest vipimo vya mkojo maana nina uhakika tatizo lilianzia hapo