Ushaur nifanyaje

Ushaur nifanyaje

Tofauti ya kiimani ina madhara sana kwenye ujenzi wa maisha ya ndo. Kuna mambo mazuri zaidi mbele yako..sahau yaliyopita na usonge mbele.
 
Hahahahhaa babe, nakupenda uniletee napicha picha,nakuvumilia tu badala ukue mwema unaendelea na kuzidisha ujinga ntakuacha nina moyo wa dam haupump maji
sikusoma hapa hebu nipite kimya meme
 
Once upon a time kabla akili hazijakomaa nilikuwa nasumbuliwa na mambo y kipuuzi kama hayo.

Nashukuru these days I dont give a damn about them.
 
Habar za wakati huu, Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye maada, Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24,ninasoma chuo hapa Dsm, nilikuwa na mpenzi wangu ambae nampenda sana, tumekuwa kwenye mahusiano kama miaka mitatu hivi japo changamoto za kukosana huwa hazikosekani lkn tumekuwa tunasamehana maisha yanaendelea. huyu mpenzi tunatofautiana imani za kidini, mm ni mkristo na yeye ni muislam.

Mimi binafsi nilikuwa nina malengo na huyu binti siku moja awe mke wangu, mpk hivi ninavyoongea sikuwahi kufanya nae ngono hata yeye hakutaka tufanye ngono kwa kipindi hiki. Tatzo linakuja huyu binti hivi karbuni amebadrika sana, kauli zake sio nzuri, hanithamini kama zamani, anaweza kunikosea na asitake hata kuniomba msamaha mpk mm nimtafute. tushawahi kuachana mara kadhaa na tukarudiana sababu nilikuwa bado nampenda ilikuwa ni ngumu kumsahau moyoni.

Hivi karbuni kama mwezi umepita alinitumia sms akiniuliza kama ntamchukuliaje akisema tuachane, binafsi nilimjibu kwamba ntaheshimu maamuzi yake sababu mapenzi sio vita, sio force. then nikamuuliza kama anataka tuachane na alijibu ndio anataka tuachane. Nilijaribu kumuuliza sababu ya kwann tuachane alinijibu ni maamuzi tu kaamua tuachane, nilimbembeleza lakin hakutaka kunielewa, sikuwa na jinsi ikanibidi nikubaliane na matokeo. kiukwel bdo nampenda na nashindwa kumsahau amekaa sana akilini mwangu, kila nikijiuliza sababu sipati japo alinambia hata utofaut wa imani za kidini ni moja ya sababu. Ndgu zangu naomba ushaur nifanyaje, nifanye nn ili nimsahau binti huyu?? nawasilisha.
Kijana omba mungu akupe WA kufanana na wewe. Huyo mwenzio unasema hujafanya nae ngono lakini kimsingi Huyo alikuwa Malaya WA kienyeji, so alikuwa anakuzuga tu coz alikuwa na kajamaa kakuukosha moo wake. Kwa wewe alikuwa anakuona kama nyuki WA kantini

Sent from my itel it1409 using JamiiForums mobile app
 
Inaonekana ulikutana nae ukiwa na umri21 yani umekaa na demu miaka mi3 bila ata kumpiga kiss? Ukiendelea kumfuatilia utaambulia manyoa.

Tuliza akili dogo,kuna mengi mazuri yatakupita kama utawaz ndoa na umri huo!
 
Fanya yako mkuu..huko kupenda naona ni wewe tu unajifanyisha..watu tushapigwa vibuti na watoto wakali hatari tuliokuwa tunawaelewa but lives goes on kama kawa
asante sana mkuu
 
Habar za wakati huu, Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye maada, Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24,ninasoma chuo hapa Dsm, nilikuwa na mpenzi wangu ambae nampenda sana, tumekuwa kwenye mahusiano kama miaka mitatu hivi japo changamoto za kukosana huwa hazikosekani lkn tumekuwa tunasamehana maisha yanaendelea. huyu mpenzi tunatofautiana imani za kidini, mm ni mkristo na yeye ni muislam.

Mimi binafsi nilikuwa nina malengo na huyu binti siku moja awe mke wangu, mpk hivi ninavyoongea sikuwahi kufanya nae ngono hata yeye hakutaka tufanye ngono kwa kipindi hiki. Tatzo linakuja huyu binti hivi karbuni amebadrika sana, kauli zake sio nzuri, hanithamini kama zamani, anaweza kunikosea na asitake hata kuniomba msamaha mpk mm nimtafute. tushawahi kuachana mara kadhaa na tukarudiana sababu nilikuwa bado nampenda ilikuwa ni ngumu kumsahau moyoni.

Hivi karbuni kama mwezi umepita alinitumia sms akiniuliza kama ntamchukuliaje akisema tuachane, binafsi nilimjibu kwamba ntaheshimu maamuzi yake sababu mapenzi sio vita, sio force. then nikamuuliza kama anataka tuachane na alijibu ndio anataka tuachane. Nilijaribu kumuuliza sababu ya kwann tuachane alinijibu ni maamuzi tu kaamua tuachane, nilimbembeleza lakin hakutaka kunielewa, sikuwa na jinsi ikanibidi nikubaliane na matokeo. kiukwel bdo nampenda na nashindwa kumsahau amekaa sana akilini mwangu, kila nikijiuliza sababu sipati japo alinambia hata utofaut wa imani za kidini ni moja ya sababu. Ndgu zangu naomba ushaur nifanyaje, nifanye nn ili nimsahau binti huyu?? nawasilisha.
AF unajiita snaype, sniper gani unakaa na demu miaka 3 ujawai ata kumleanga[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Tofauti ya kiimani ina madhara sana kwenye ujenzi wa maisha ya ndo. Kuna mambo mazuri zaidi mbele yako..sahau yaliyopita na usonge mbele.
asante sana demi, unanipa nguvu kusonga mbele
 
Once upon a time kabla akili hazijakomaa nilikuwa nasumbuliwa na mambo y kipuuzi kama hayo.

Nashukuru these days I dont give a damn about them.
nipe siri ya mafanikio yako mkuu
 
Inaonekana ulikutana nae ukiwa na umri21 yani umekaa na demu miaka mi3 bila ata kumpiga kiss? Ukiendelea kumfuatilia utaambulia manyoa.

Tuliza akili dogo,kuna mengi mazuri yatakupita kama utawaz ndoa na umri huo!
for sure harder King
 
Sasa kama mtu ww humtombi unakuwa na faida gani kwake
 
Back
Top Bottom