Askof Mstaafu
JF-Expert Member
- Jun 28, 2018
- 924
- 4,589
Hukuwahi kupiga mambo afu unadai ulikuwa na mpenzi, huyo alikuwa rafiki tu unashindwa vipi kumsahau?
Wewe ndio una nongwa eh??? Naona unampa pole vladmir subiri zamu yako yajawengine wanafanya bhana
kuachana ni jambo la kawaida eh??Karib sana, kuachana hujaanza wewe wala leo chukulia ni kitu cha kawaida focus na maisha yako yana umuhim kuliko chochote kwa sasa
itikia kwanza babeKabla sjaitika nambie umemaanisha nn
Naona umeniamulia bae!kuachana ni jambo la kawaida eh??
Yes honeyitikia kwanza babe
unataka nipigwe ban nakuona tuWewe ndio una nongwa eh??? Naona unampa pole vladmir subiri zamu yako yaja
We ndoo wataka nipa shida ukipigwa ban na mie huku natokaunataka nipigwe ban nakuona tu
waite mods basi
sasa unamuchaje mtu unaempenda??Naona umeniamulia bae!
Iko hiv, mtu unaona kabisa haeleweki anatoa signs unaona hapa hamna mahala tunafika why uendelee kukaa? Hilo ndio kosa tunafanyaga kukaa kwenye mahusiano yasiofaa kwa mda mrf
Wakat mwengine watu tunaowaona ndoo sahihi kwetu ndio watu ambao tunapaswa kuishi bila wao
Kuachana kunauma natambua, nimeshatokea huko lakini inafikia hatua unaona huna maamuzi ndio hayo pekee
So unakubaliana na hali unakija ona kawaida tu
ni kwel kabisa tatzo ukwel mchungu huwa hatutaki kukubali ukwelNaona umeniamulia bae!
Iko hiv, mtu unaona kabisa haeleweki anatoa signs unaona hapa hamna mahala tunafika why uendelee kukaa? Hilo ndio kosa tunafanyaga kukaa kwenye mahusiano yasiofaa kwa mda mrf
Wakat mwengine watu tunaowaona ndoo sahihi kwetu ndio watu ambao tunapaswa kuishi bila wao
Kuachana kunauma natambua, nimeshatokea huko lakini inafikia hatua unaona huna maamuzi ndio hayo pekee
So unakubaliana na hali unakija ona kawaida tu
nakupendaYes honey
wamekuelewa hahahahaWe ndoo wataka nipa shida ukipigwa ban na mie huku natoka
Hahahahhaa babe, nakupenda uniletee napicha picha,nakuvumilia tu badala ukue mwema unaendelea na kuzidisha ujinga ntakuacha nina moyo wa dam haupump majisasa unamuchaje mtu unaempenda??
Haswaaani kwel kabisa tatzo ukwel mchungu huwa hatutaki kukubali ukwel
Hahahahahawamekuelewa hahahaha
Nakupenda mno hunnakupenda
nakuja pmNakupenda mno hun
Nakusubiri babenakuja pm