Ushaur nifanyaje

Ushaur nifanyaje

snayper

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2017
Posts
302
Reaction score
218
Habar za wakati huu, Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye maada, Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24,ninasoma chuo hapa Dsm, nilikuwa na mpenzi wangu ambae nampenda sana, tumekuwa kwenye mahusiano kama miaka mitatu hivi japo changamoto za kukosana huwa hazikosekani lkn tumekuwa tunasamehana maisha yanaendelea. huyu mpenzi tunatofautiana imani za kidini, mm ni mkristo na yeye ni muislam.

Mimi binafsi nilikuwa nina malengo na huyu binti siku moja awe mke wangu, mpk hivi ninavyoongea sikuwahi kufanya nae ngono hata yeye hakutaka tufanye ngono kwa kipindi hiki. Tatzo linakuja huyu binti hivi karbuni amebadrika sana, kauli zake sio nzuri, hanithamini kama zamani, anaweza kunikosea na asitake hata kuniomba msamaha mpk mm nimtafute. tushawahi kuachana mara kadhaa na tukarudiana sababu nilikuwa bado nampenda ilikuwa ni ngumu kumsahau moyoni.

Hivi karbuni kama mwezi umepita alinitumia sms akiniuliza kama ntamchukuliaje akisema tuachane, binafsi nilimjibu kwamba ntaheshimu maamuzi yake sababu mapenzi sio vita, sio force. then nikamuuliza kama anataka tuachane na alijibu ndio anataka tuachane. Nilijaribu kumuuliza sababu ya kwann tuachane alinijibu ni maamuzi tu kaamua tuachane, nilimbembeleza lakin hakutaka kunielewa, sikuwa na jinsi ikanibidi nikubaliane na matokeo. kiukwel bdo nampenda na nashindwa kumsahau amekaa sana akilini mwangu, kila nikijiuliza sababu sipati japo alinambia hata utofaut wa imani za kidini ni moja ya sababu. Ndgu zangu naomba ushaur nifanyaje, nifanye nn ili nimsahau binti huyu?? nawasilisha.
 
Hakuna malengo hapo mnapotezeana muda, take it from me next time jaribu kua na mtu wa dini yako hilo moja

Pili hujataka kukuubali ukweli kama ndio hivyo tena, utapoa moyo ukikubali kua umeachana naye, tena ona kabisa hakua fungu lako umepangiwa

Kubali matokeo mwisho wa siku lazima maisha yasonge

Kama ulivyisema mapenzi sio vita wala kulazimishana why uendelee kujiliza liza na mtu kashakwambia ukweli??

Wanawake ni wengi sana huko as long as uko hai utakuja kupata mwengine had umuulize alikokua mpaka unakumbana na watu wa hovyohovyo
 
ACHANA NAE MAISHA YATAENDELEA BILA YY TENA UNAWEZA UKAANZA KUPATA DEAL NONO ACHANA NAE ATAKUJAZIA NUKSI



USIMBEMBELEZE
 
Endelea kuomba ushauri wa kuhusu huyo binti badala ya kuweka bidii na mkazo kwenye masomo. Endelea kuhuzunika kwamba unajua sana mahaba, kitambo unakuja kugundua kwamba amekusaidia na kukuepusha na matatizo inaweza kuwa umeshachelewa.

Kwani umeambiwa yuko peke yake au wanaisha? Huenda amepata mwingine anaeweza kuwa msaada kwake kwa sasa, hata akikwambia hauna uwezo wa kutimiza mahitaji yake, bado utaumia tu.

Mwache aende zake kiroho safi. Baada ya muda utasahau na kuendelea na maisha.
 
Hakuna malengo hapo mnapotezeana muda, take it from me next time jaribu kua na mtu wa dini yako hilo moja

Pili hujataka kukuubali ukweli kama ndio hivyo tena, utapoa moyo ukikubali kua umeachana naye, tena ona kabisa hakua fungu lako umepangiwa

Kubali matokeo mwisho wa siku lazima maisha yasonge

Kama ulivyisema mapenzi sio vita wala kulazimishana why uendelee kujiliza liza na mtu kashakwambia ukweli??

Wanawake ni wengi sana huko as long as uko hai utakuja kupata mwengine had umuulize alikokua mpaka unakumbana na watu wa hovyohovyo
ni kweli wanawake wapo wengi as long as nipo hai

sijamaanisha chochote baby
 
Mwanamke akishakuambia.... Ivi utafanya nn ukisikia nakusaliti?? Wee mjibu... Nitakukatakata napanga, nikuue, alafu nitakuzika kimyakimya.

Akikuambia ,ivi utafanya nn ,nikikuambia tuachane??

Wee mwambie , Siwezi kukulazimisha unipende, nakachofanya ni kukuambia nakupenda kisha nitakaa kimya
 
Hakuna malengo hapo mnapotezeana muda, take it from me next time jaribu kua na mtu wa dini yako hilo moja

Pili hujataka kukuubali ukweli kama ndio hivyo tena, utapoa moyo ukikubali kua umeachana naye, tena ona kabisa hakua fungu lako umepangiwa

Kubali matokeo mwisho wa siku lazima maisha yasonge

Kama ulivyisema mapenzi sio vita wala kulazimishana why uendelee kujiliza liza na mtu kashakwambia ukweli??

Wanawake ni wengi sana huko as long as uko hai utakuja kupata mwengine had umuulize alikokua mpaka unakumbana na watu wa hovyohovyo
Ahsante sana madam S acha nifanyie kazi
 
Mwanamke akishakuambia.... Ivi utafanya nn ukisikia nakusaliti?? Wee mjibu... Nitakukatakata napanga, nikuue, alafu nitakuzika kimyakimya.

Akikuambia ,ivi utafanya nn ,nikikuambia tuachane??

Wee mwambie , Siwezi kukulazimisha unipende, nakachofanya ni kukuambia nakupenda kisha nitakaa kimya
pole kwa ban dude
 
Ahsante sana madam S acha nifanyie kazi
Karib sana, kuachana hujaanza wewe wala leo chukulia ni kitu cha kawaida focus na maisha yako yana umuhim kuliko chochote kwa sasa
 
Back
Top Bottom