Ushamba: Simu za Gharama

Ushamba: Simu za Gharama

Monsta galaxy s 2 ndo simu gan? mie najua monster ipo kwenye simu nying sana taja exactly simu ili nijue ukweli au nikueleweshe.

Samsung ndio simu bana, does its job effectively
 
Mi nafikiri lengo la kuwa na simu ni kuwa na uwezo wa kutuma ujumbe mfupi, uwezo wa kuwasiliana na mtu wa pili kwa haraka kwa ajili ya maongezi, labda tuweke na matumizi ya Internet ambapo unaweza kuhabarisha watu na kupata taarifa mbalimbali kama za hapa JF. Lakini mi point yangu ni kwaba kweli kuna ulazima wa kuwa na simu ya bei mbaya sana kuanzia laki 3 na kuendelea wakati unaweza kupata simu yenye hizo huduma zote kwa elfu 50 mpaka laki??, huu sio ushamba kweli!!, kinachofurahisha zaidi hao wanaotengeneza hizo simu wenyewe hata hawazitumii hizo za bei mbaya!!!,
Utakuuta mtu una simu ya milioni moja halafu anasema maisha magumu!!.

Si wote mana maisha magumu kama wewe na si kweli matumizi ya simu yako sawa. Huwezi ukalinganisha kwa mfano SAMSUNG Galaxy S2 na Samsung D780. Hakuna kitu kama hicho. Camera, Connections, nk. Vyote ni tofauti. Na wewe naona unatetea simu za elfu 80 kisha zinasupport WAP. Ukumbuke hazina WiFi nk. Usilazimishe mtu aishi kama wewe. Watu wana hobbies tofauti.
 
Nina laptop na modem lakini simu yangu inanifanya nisione umuhimu wa hivyo.
Kwenye hii simu nina Microsoft office 2010
Opera Mobile 10
Internet exploler
Radio
Currency converter ya kila fedha internet based SPB SHELL
facebook application
Twitter application
Myspace ''
Operating system yake ni Microsoft Windows Phone 7.5
Adobe reader
Bei yake kwa Dar 1.6 M
japo kwa sasa inaweza patikana hata kwa milion 1.3
na ina mambo mengi sana na kii kipana sana kama palm top.

MIMI BORA UNINYIME KOMPUTER ILA SIMU IWEPO TENA SIMU NZURI SANA HATA IWE YA 3M NITANUNUA.

mtoa mada huna hoby na simu au hujui pocket technology.
Hapa nadhan hoja si ushamba bali interest.
Mzee ulijuaje kuwa laptop yangu wanachezea watoto mi mwenyewe naji -iphonica na wife ana-galaxica!
 
Sema wewe huna hela na usijumuishe wote..
Na haitawezekana hata kwa bahati watu wote wakaishi upendavyo wewe..kama unakula ugali kwa picha ya samaki wengine hawawezi huo ujasiri...
 
Hapa natumia iPhone !! Laiti ungeiona application ya JF kwenye iPhone ilivyo na mvuto na ninavyo browse walah ungekuwa jirani yangu kila siku ungenigongea mlango kuomba simu na wewe ufungue JF ujisomee!
 
Tukianza kufatilia mambo ya anasa ni mengi sana,
Kwa mfano. Mtu unaish kwenye nyumba kuuubwa peke yeko,
ni kwa nini usijenge chumba kimoja chakukutosha?
Mtu m1 unamiliki nguo nyiingi kwa nini usiwe na nguo 6 tu?suruali 3 shati 3 kwisha,
Mtu m1 anamiliki kochi set nzima,
kwa nini usichonge stuli moja tu ya kukalia wewe mwenyewe?
Tehe tehe tehe tehe ntarudi baadae.
Nguo 6? inaelekea huvai ch*upi wala vest kama unavyoonekana kwenye avatar yako.
 
Mi naona mambo ya simu na product zingine za watu binafsi tuwaachie kila mtu ana maamuzi yake. Kipato kikiongezeka ndo utajua kwa nini jana ulimshangaa aliye nunua product ya bei juu zaidi. Ila tuangalieni na serikali ambayo kila mwaka wana badili model za magari kwa mamia ya mamilioni ya pesa za walipa kodi huku tunajiita nchi maskini tunaishi kwa mikopo na kuomba omba.
 
Pata kitu macho imeona na moyo imependa,unakuwa na ipad,iphone blackberry maisha yanaenda.
Ishi nyumba ya kupanga kazini waenda na Vogue.
 
Mi nafikiri ukweli unauma!!!, maana wote wanaotoka mapovu hapa wamenunua hayo masimu ya namna hiyo. Ndugu zanguni tusiwe washamba kiasi hicho. eti ni kwa vile ni toleo jipya basi we unaacha kufanya mambo ya mana unanunua simu, unashindwa kuwahudumia watoto wako vizuri kisa eti una mpango wa kununua simu ya bei mbaya. Mi nadhani sio poa kabisa.

Simu nzuri ni chaguo la Mtu . Kunawatu wanaamua kutumia pesa zao kwa ulevi tu, tena ulevi usio na sababu maalum,unakuta Jamaa anatoa ofa ya bia na vilevi expensive Kama jack Daniel etc.
Wapo wengine wanaacha familia zao zinahangaika njaa, wao wanahonga pesa zao kwa machangudoa.
Simu inaweza kukuongezea status na mwonekano WA kisses zaidi. Siungi mkono hoja yako
 
Simu za gharama ni mwisho wa gharama.
sumsang galaxy s3.png
nha hii je? sumsung s iii.png
nokia n9.png
 
Wakuu simu ni "status" pia. Huwezi kuwa mkurungezi halafu ukawa na simu ya kitochi kisa wewe ni kupiga, kupokea na kutuma sms. Kama hujuwi hata hii mitandao yetu ya simu nayo ina status yake, kwa mfano Tigo ni mtandao wa wanafunzi na watu wa kipato kidogo. Iliyobaki ni ya hadhi ya juu.
 
Huo ndio ushamba wenyewe, we kama una radio, laptop etc sasa unanua simu yenye hivyo vitu vyote ya nini!!!. ingali utakuwa huvitumii kwenye simu. Au basi kulingisha ili ukifika baa uiweke juu ya meza!!! loh!!

Huwezi tembea na radio/laptop kila mahali lakn simu unaweza enda nayo almost popote
 
Nimeibiwa lap top yangu kwenye klm bus sina hanu natumia sony ercson experia nailinda kama jicho nlkila kiroba naiweka kwa gari...
haya bna ngoja uibiwe utakuwa na hamu na hyo laptoap yako.
 
Sema wewe huna hela na usijumuishe wote..
Na haitawezekana hata kwa bahati watu wote wakaishi upendavyo wewe..kama unakula ugali kwa picha ya samaki wengine hawawezi huo ujasiri...

hahahaha haya majibu ni noma. Unajua nahisi huyu mtoa mada atakua geneous ila ni geneous wa zamani. Hata babu yangu ambaye ni msomi kidogo yeye ameapa kamwe hato nunua simu zaidi ya elfu 60. Bahati ni kwamba ofisini kwao kila mwaka anapewa simu mpya. Wazee wanatabu sana hawa. Mfano mwaka juzi babu alipewa blacberry curve na mwaka jana aliambiwa achague simu akachagua nokia N 83. Jst imagine.
 
Back
Top Bottom