ThinkPad
JF-Expert Member
- Apr 11, 2008
- 1,844
- 236
Monsta galaxy s 2 ndo simu gan? mie najua monster ipo kwenye simu nying sana taja exactly simu ili nijue ukweli au nikueleweshe.
Samsung ndio simu bana, does its job effectively
Monsta galaxy s 2 ndo simu gan? mie najua monster ipo kwenye simu nying sana taja exactly simu ili nijue ukweli au nikueleweshe.
Mi nafikiri lengo la kuwa na simu ni kuwa na uwezo wa kutuma ujumbe mfupi, uwezo wa kuwasiliana na mtu wa pili kwa haraka kwa ajili ya maongezi, labda tuweke na matumizi ya Internet ambapo unaweza kuhabarisha watu na kupata taarifa mbalimbali kama za hapa JF. Lakini mi point yangu ni kwaba kweli kuna ulazima wa kuwa na simu ya bei mbaya sana kuanzia laki 3 na kuendelea wakati unaweza kupata simu yenye hizo huduma zote kwa elfu 50 mpaka laki??, huu sio ushamba kweli!!, kinachofurahisha zaidi hao wanaotengeneza hizo simu wenyewe hata hawazitumii hizo za bei mbaya!!!,
Utakuuta mtu una simu ya milioni moja halafu anasema maisha magumu!!.
Mzee ulijuaje kuwa laptop yangu wanachezea watoto mi mwenyewe naji -iphonica na wife ana-galaxica!Nina laptop na modem lakini simu yangu inanifanya nisione umuhimu wa hivyo.
Kwenye hii simu nina Microsoft office 2010
Opera Mobile 10
Internet exploler
Radio
Currency converter ya kila fedha internet based SPB SHELL
facebook application
Twitter application
Myspace ''
Operating system yake ni Microsoft Windows Phone 7.5
Adobe reader
Bei yake kwa Dar 1.6 M
japo kwa sasa inaweza patikana hata kwa milion 1.3
na ina mambo mengi sana na kii kipana sana kama palm top.
MIMI BORA UNINYIME KOMPUTER ILA SIMU IWEPO TENA SIMU NZURI SANA HATA IWE YA 3M NITANUNUA.
mtoa mada huna hoby na simu au hujui pocket technology.
Hapa nadhan hoja si ushamba bali interest.
Nguo 6? inaelekea huvai ch*upi wala vest kama unavyoonekana kwenye avatar yako.Tukianza kufatilia mambo ya anasa ni mengi sana,
Kwa mfano. Mtu unaish kwenye nyumba kuuubwa peke yeko,
ni kwa nini usijenge chumba kimoja chakukutosha?
Mtu m1 unamiliki nguo nyiingi kwa nini usiwe na nguo 6 tu?suruali 3 shati 3 kwisha,
Mtu m1 anamiliki kochi set nzima,
kwa nini usichonge stuli moja tu ya kukalia wewe mwenyewe?
Tehe tehe tehe tehe ntarudi baadae.
Samsung ndio simu bana, does its job effectively
Mi nafikiri ukweli unauma!!!, maana wote wanaotoka mapovu hapa wamenunua hayo masimu ya namna hiyo. Ndugu zanguni tusiwe washamba kiasi hicho. eti ni kwa vile ni toleo jipya basi we unaacha kufanya mambo ya mana unanunua simu, unashindwa kuwahudumia watoto wako vizuri kisa eti una mpango wa kununua simu ya bei mbaya. Mi nadhani sio poa kabisa.
Huo ndio ushamba wenyewe, we kama una radio, laptop etc sasa unanua simu yenye hivyo vitu vyote ya nini!!!. ingali utakuwa huvitumii kwenye simu. Au basi kulingisha ili ukifika baa uiweke juu ya meza!!! loh!!
haya bna ngoja uibiwe utakuwa na hamu na hyo laptoap yako.
Sema wewe huna hela na usijumuishe wote..
Na haitawezekana hata kwa bahati watu wote wakaishi upendavyo wewe..kama unakula ugali kwa picha ya samaki wengine hawawezi huo ujasiri...