Ushamba: Simu za Gharama

Ushamba: Simu za Gharama

Nina laptop na modem lakini simu yangu inanifanya nisione umuhimu wa hivyo.
Kwenye hii simu nina Microsoft office 2010
Opera Mobile 10
Internet exploler
Radio
Currency converter ya kila fedha internet based SPB SHELL
facebook application
Twitter application
Myspace ''
Operating system yake ni Microsoft Windows Phone 7.5
Adobe reader
Bei yake kwa Dar 1.6 M
japo kwa sasa inaweza patikana hata kwa milion 1.3
na ina mambo mengi sana na kii kipana sana kama palm top.

MIMI BORA UNINYIME KOMPUTER ILA SIMU IWEPO TENA SIMU NZURI SANA HATA IWE YA 3M NITANUNUA.

mtoa mada huna hoby na simu au hujui pocket technology.
Hapa nadhan hoja si ushamba bali interest.

na ushamba umo mkuu..utakuta pamoja na fuctions zote hizo mtu anatuma text na kupiga simu peke yake..inakuwa haina maana.
 
Dunia inabadilika na vitu vinabadilika.
Miaka ya nyuma wakati kompyuta inavumbuliwa ilikua inajaa chumba kizima, lakini leo hii inakaa kiganjani ktk mtindo wa simu hii yote ni mapinduzi ya teknolojia.
Watengenezaji wa simu huzingatia watumiaji, ndio maana hutengeneza simu zenye mambo mengi na ufanisi mkubwa vivyo hivyo zile zenye ufanisi mdogo(mf tochi yenye simu -nokia kitochi).
Usimuite mtu mshamba kwa kuwa tu wewe huna uwezo wa kununua hiyo simu kali kumbuka vipato havifanani na wala matumizi ya simu hayafanani maana mi natamani hata mama ntilie angetumia iPhone au Samsung Galaxy maana najua kuna "applications" muhimu zimuhusuzo ila kikwazo uwezo na uelewa.
 
Nina laptop na modem lakini simu yangu inanifanya nisione umuhimu wa hivyo.
Kwenye hii simu nina Microsoft office 2010
Opera Mobile 10
Internet exploler
Radio
Currency converter ya kila fedha internet based SPB SHELL
facebook application
Twitter application
Myspace ''
Operating system yake ni Microsoft Windows Phone 7.5
Adobe reader
Bei yake kwa Dar 1.6 M
japo kwa sasa inaweza patikana hata kwa milion 1.3
na ina mambo mengi sana na kii kipana sana kama palm top.

MIMI BORA UNINYIME KOMPUTER ILA SIMU IWEPO TENA SIMU NZURI SANA HATA IWE YA 3M NITANUNUA.

mtoa mada huna hoby na simu au hujui pocket technology.
Hapa nadhan hoja si ushamba bali interest.
Hiyo simu yako inaitwaje mkuu. naona pia ina vimbwanga kibao. hebu nijuze inapatikana wap?.
 
Nina laptop na modem lakini simu yangu inanifanya nisione umuhimu wa hivyo.
Kwenye hii simu nina Microsoft office 2010
Opera Mobile 10
Internet exploler
Radio
Currency converter ya kila fedha internet based SPB SHELL
facebook application
Twitter application
Myspace ''
Operating system yake ni Microsoft Windows Phone 7.5
Adobe reader
Bei yake kwa Dar 1.6 M
japo kwa sasa inaweza patikana hata kwa milion 1.3
na ina mambo mengi sana na kii kipana sana kama palm top.

MIMI BORA UNINYIME KOMPUTER ILA SIMU IWEPO TENA SIMU NZURI SANA HATA IWE YA 3M NITANUNUA.

mtoa mada huna hoby na simu au hujui pocket technology.
Hapa nadhan hoja si ushamba bali interest.

Huo ndio ushamba wenyewe, we kama una radio, laptop etc sasa unanua simu yenye hivyo vitu vyote ya nini!!!. ingali utakuwa huvitumii kwenye simu. Au basi kulingisha ili ukifika baa uiweke juu ya meza!!! loh!!
 
hapa mtoa mada ameonesha wivu wa waziwazi,simu gani ya elfu 50 yenye kila kitu?kama hujiwezi kaa utulie.tumekuja duniani kuishi hatukuja kufanana,raha jipe mwenyewe,acha wivu.
 
Tambua kuwa kumiliki simu ya gharama kubwa inategemea uwezo wa mtu,tunatofautiana kiuwezo,pia kumbuka hata ktk umili wa vitu vingine tunatofautiana kwa gharama na ubora pia kama gari,nyumba na hata mavazi.
 
Nina laptop na modem lakini simu yangu inanifanya nisione umuhimu wa hivyo.
Kwenye hii simu nina Microsoft office 2010
Opera Mobile 10
Internet exploler
Radio
Currency converter ya kila fedha internet based SPB SHELL
facebook application
Twitter application
Myspace ''
Operating system yake ni Microsoft Windows Phone 7.5
Adobe reader
Bei yake kwa Dar 1.6 M
japo kwa sasa inaweza patikana hata kwa milion 1.3
na ina mambo mengi sana na kii kipana sana kama palm top.

MIMI BORA UNINYIME KOMPUTER ILA SIMU IWEPO TENA SIMU NZURI SANA HATA IWE YA 3M NITANUNUA.

mtoa mada huna hoby na simu au hujui pocket technology.
Hapa nadhan hoja si ushamba bali interest.

Hiyo SPB shell umeipataje? Nipe maujanja maana kwenye Android market au Google play inauzwa Usd 14 na ushee.
 
Hiyo simu yako inaitwaje mkuu. naona pia ina vimbwanga kibao. hebu nijuze inapatikana wap?.

Sijanunua Tz mkuu. Nimetoka nayo nje ila Dar nimeziona Nokia Care uliza inaitwa Nokia Lumia 800
japo kwa sasa kuna Lumia 900 imetoka March ila sijui kawa Dar ipo.
 
Hiyo SPB shell umeipataje? Nipe maujanja maana kwenye Android market au Google play inauzwa Usd 14 na ushee.

Nilinunua online kwa kupitia market place kwa kuwa akaunti yangu ya windows live iko activated.
Pia waweza nunua kwa paypal.
Huwa nanunua software za simu kwa kuwa nying ziko below USD 20.
 
Wee ni pumbavu, simu yangu ni Samsung Galax2. Nenda kaulize bei yake ukiwa umeshiba sawasawa vinginevo utaonekana mshamba ni wewe.
Hiyo Galaxy s2 ni best mobile so far, but bei yake ni rahisi sana. Its only abt 1.2m! Hii hata watoto wa shule wanaweza kununua, usijisifu kwa hili mkuu!
 
hapa mtoa mada ameonesha wivu wa waziwazi,simu gani ya elfu 50 yenye kila kitu?kama hujiwezi kaa utulie.tumekuja duniani kuishi hatukuja kufanana,raha jipe mwenyewe,acha wivu.

Sadaktaa, anataka sote tutumie simu za mchina hiyo enzi ya ujamaa na kujitegemea imeshapita.

Kama huna uwezo kaa pembeni. Ndiyo mana wengine wana Vitz na wengine Range rovers
 
Huo ndio ushamba wenyewe, we kama una radio, laptop etc sasa unanua simu yenye hivyo vitu vyote ya nini!!!. ingali utakuwa huvitumii kwenye simu. Au basi kulingisha ili ukifika baa uiweke juu ya meza!!! loh!!
hahaha hobby mkuu! simu natumia popote pale laptop mzigo sana so inatumika on high demand.

Niko radhi nisiwe na baiskeli ili nikusanye pesa ya simu inayokidhi kuiweka dunia mkononi.

Vitu kama youtube
Whatsapp, skype vinatakiwa popote. Je utabeba laptop hata hotel au shamban?
 
Hiyo Galaxy s2 ni best mobile so far, but bei yake ni rahisi sana. Its only abt 1.2m! Hii hata watoto wa shule wanaweza kununua, usijisifu kwa hili mkuu!
atleast Galaxy Nexus R. Mie naona S2 ya zaman sana japo sipendi samsung ninayo samsung i900 hapa inachajiwa kila after 12 hours.
 
Sure, ushamba kuwa na expensive phone? Si kweli! Km wadau wanavyosema ; interest za mtu ndio zinapelekea kununua simu ya milions!
 
images


Unaona kitu hicho!!.

Is this iOs or Android based?
naomba nipe jina lake.
 
Tukianza kufatilia mambo ya anasa ni mengi sana,
Kwa mfano. Mtu unaish kwenye nyumba kuuubwa peke yeko,
ni kwa nini usijenge chumba kimoja chakukutosha?
Mtu m1 unamiliki nguo nyiingi kwa nini usiwe na nguo 6 tu?suruali 3 shati 3 kwisha,
Mtu m1 anamiliki kochi set nzima,
kwa nini usichonge stuli moja tu ya kukalia wewe mwenyewe?
Tehe tehe tehe tehe ntarudi baadae.

kabisa mkuu, mtu ni mwembambaaaaaa anunua kitanda cha 5kwa 6 au 6kwa6, kwa nini asinunue na kulalia kitanda cha 2na nusu kwa 6 kama vile vya boarding schools alichokuwa analalia enzi hizo na kinamtosha?
 
Mi nafikiri lengo la kuwa na simu ni kuwa na uwezo wa kutuma ujumbe mfupi, uwezo wa kuwasiliana na mtu wa pili kwa haraka kwa ajili ya maongezi, labda tuweke na matumizi ya Internet ambapo unaweza kuhabarisha watu na kupata taarifa mbalimbali kama za hapa JF. Lakini mi point yangu ni kwaba kweli kuna ulazima wa kuwa na simu ya bei mbaya sana kuanzia laki 3 na kuendelea wakati unaweza kupata simu yenye hizo huduma zote kwa elfu 50 mpaka laki??, huu sio ushamba kweli!!, kinachofurahisha zaidi hao wanaotengeneza hizo simu wenyewe hata hawazitumii hizo za bei mbaya!!!,
Utakuuta mtu una simu ya milioni moja halafu anasema maisha magumu!!.

Wewe ndio mshamba ambaye umekariri kwamba simu kazi yake ni kupiga, kupokea simu na kutuma sms with bonus of internet. Simu za mkononi matumizi yake ni zaidi ya uelewavyo wewe., kama hujui kitu just :shut-mouth:
 
Tukianza kufatilia mambo ya anasa ni mengi sana,
Kwa mfano. Mtu unaish kwenye nyumba kuuubwa peke yeko,
ni kwa nini usijenge chumba kimoja chakukutosha?
Mtu m1 unamiliki nguo nyiingi kwa nini usiwe na nguo 6 tu?suruali 3 shati 3 kwisha,
Mtu m1 anamiliki kochi set nzima,
kwa nini usichonge stuli moja tu ya kukalia wewe mwenyewe?
Tehe tehe tehe tehe ntarudi baadae.

Kichomiz,,,,,kwi kwi kwi kwi kwi kwi,,,,mbavu zangu kichomiz chaniumaz
 
Back
Top Bottom