Ushamba ATM machine

mrs fiance

JF-Expert Member
May 24, 2016
352
163
Kwa kweli nimekuwa mshamba ATM machine .mpaka naogopa kufungua account Bank. Nawe ulikuwa mshamba Kama mm???kinachonitatiza kwenye kitambulisho cha bank zile number nyingi. Mtu nyoyote anaweza kuziona au ni siri.na kwa ujumla mm ni mshamaba.na Kama MTU anataka kukuingizia hela bank in number zipi unampa ili akutumie?.hela zangu nahifadhigi kwa cm tu. Kwa wanao jua naombe saada
 
Unatumia bank gani? kama ni nmb kuna sehemu moja imeandikwa ACCOUNT NUMBER XXXXXX Upande wa kushoto hiyo ndo namba yako ya account na jina la account lipo kwa juu
 
Yaani umeweza kujiunga JF umeshindwa kuwa na account bank,
Kwa dunia ya leo hadi watoto wadogo wana account wewe huna, aisee jiangalie sana
 
Back
Top Bottom