Kitengo cha propaganda cha CCM kimeonekana kufanya kazi yake barabara sasa hivi na idadi kubwa ya magazeti imekuwa ikipiga propaganda kubwa dhidi ya CHADEMA sasa hivi.Kutokana na hali hiyo inatakiwa kitengo cha uenezi CHADEMA kiwe macho saa zote chini ya John Mnyika na Tumaini Makene.Pia umuhimu wa CHADEMA kuwa na vyombo vyake vya habari unazidi kuongezeka.
Chini ni baadhi ya magazeti ya leo:
Chini ni baadhi ya magazeti ya leo: