Dr Matola PhD
Platinum Member
- Oct 18, 2010
- 61,430
- 108,589
Wewe Manyerere ni Mnafki mkubwa, unakumbuka vyema hiki kitu au msimamo huu haukuandikwa kwenye magazeti bali ulikuwa unahojiwa na Star Tv kama sikosei, na ukatoa msimamo wa Gazeti lenu kwamba mnamuunga mkono JK na CCM.Ndugu zangu, heshima ya JF inashuka kwa uzushi na mambo ya kutunga ya aina hii. Last election anayoisema huyu ndugu sikupata na wala sijawahi kuandika au kutamka popote kwamba naiunga mkono CCM. Kama ushahidi wa hilo upo, nakubali nisutwe na laana ya unafiki wangu iniangukie. Sijawahi kufanya kitu cha aina hiyo. Wanaonijua, wanaelewa ninachokisema. Narudia, kama kweli upo ushahidi wangu wa maandishi (maana magazeti yanatunzwa), nisutwe. Sijawahi kufanya kazi ya kuifia CCM. Lakini ni ajabu, ukiwa na CCM wanasema mimi ni mpinzani, ukiwa upinzani unaambiwa CCM. Sioni ubaya wa haya, hasa ikizingatiwa kuwa I'm after my country!
manyerere Jackton
Kwembe-Kati
Dar es Salaam
JF kuna kila aina ya wataalam wa kufanya searching kwa taarifa wanazohitaji, naomba wanajamvi kama kuna mtu mwenye uwezo wa kutafuta Interview alizowahi kufanya huyu Manyerere mwaka 2010 wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu video clip mtaipata.
Hapa anachojaribu kuskip Manyerere ni kujionesha kwamba ni mtu huru wakati si kweli, na habari hii niya malipo maalum kwa kazi aliyoifanya.
Nakala kwa Mwitongo.