Mtanzanika
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 2,389
- 1,131
Shahidi wa tukio la ajali akitoa ushahidi wake mahakamani..na hivi ndivyo ilivyokua: Mwanasheria: "Ni kweli kwamba uliishuhudia ajali iliyotokea?" Shahidi: "Ndio niliishuhudia." Mwanasheria: "Ulikua umbali gani kutoka kwenye tukio la ajali?" Shahidi: "umbali wa futi 31 na nchi 6 na robo." Mwanasheria (akidhani atamtia mtegoni shahidi): "Vizuri, Je unaweza kuiambia Mahakama ulijuaje kama umbali huo uliosema ndo wenyewe haswaa?" Shahidi: "Kwa sababu ajali ilipotokea nilichukua futi ya kupimia nikapima na nilijua some stupid lawyer would ask me that question." |