Mtanzanika
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 2,389
- 1,131
[TABLE="width: 100%, align: center"]
[TR]
[TD]Shahidi wa tukio la ajali akitoa ushahidi wake mahakamani..na hivi ndivyo ilivyokua:
Mwanasheria: "Ni kweli kwamba uliishuhudia ajali iliyotokea?"
Shahidi: "Ndio niliishuhudia."
Mwanasheria: "Ulikua umbali gani kutoka kwenye tukio la ajali?"
Shahidi: "umbali wa futi 31 na nchi 6 na robo."
Mwanasheria (akidhani atamtia mtegoni shahidi): "Vizuri, Je unaweza kuiambia Mahakama ulijuaje kama umbali huo uliosema ndo wenyewe haswaa?"
Shahidi: "Kwa sababu ajali ilipotokea nilichukua futi ya kupimia nikapima na nilijua some stupid lawyer would ask me that question."
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TR]
[TD]Shahidi wa tukio la ajali akitoa ushahidi wake mahakamani..na hivi ndivyo ilivyokua:
Mwanasheria: "Ni kweli kwamba uliishuhudia ajali iliyotokea?"
Shahidi: "Ndio niliishuhudia."
Mwanasheria: "Ulikua umbali gani kutoka kwenye tukio la ajali?"
Shahidi: "umbali wa futi 31 na nchi 6 na robo."
Mwanasheria (akidhani atamtia mtegoni shahidi): "Vizuri, Je unaweza kuiambia Mahakama ulijuaje kama umbali huo uliosema ndo wenyewe haswaa?"
Shahidi: "Kwa sababu ajali ilipotokea nilichukua futi ya kupimia nikapima na nilijua some stupid lawyer would ask me that question."
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]