Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 5,360
- 11,505
Huwa najiuliz kabisa. Mtu ambaye una elimu nzuri,unajiweza kipesa,kiakili upo timamu.unaweza sema kabisa wewe ni mfuasi wa zitto kabwe?au kigwangala?au kibajaji?
Naamini watanzania wengi wana matatizo ya kiakili yanayosababishwa na umaskini. Zitto wa leo siyo Zitto wa jana. Na Zitto wa Kesho sito Zitto wa Leo.
Naamini watanzania wengi wana matatizo ya kiakili yanayosababishwa na umaskini. Zitto wa leo siyo Zitto wa jana. Na Zitto wa Kesho sito Zitto wa Leo.