Ndio maana nipo kwenye madai ya PhD, nimegundua waungwana hata dini yenyewe hawaielewi, ni tangu lini, poem ikapewa tafsiri ya Moja Kwa Moja kama sio ugonjwa wa akili,
Wachagga na wahaya walipokosea ni kutohoa neno christ kuwa kristo, hapan waliua maana ya neno christ Kwa kuchagua kuimba kristo
Christ ni sifa ambazo anakuwa nazo mtu, ideal, compassion humility redemption salvation na truth(dharma Kwa budha), badala ya kuipa Christ maana ya kiswahili tukachagua kuimba ndio maana mapepo Kwa watu hayaishi, wamekaa wanamsubiri mtu aliyepaa arudi,
Msisahau man is ideal,
Man is not real,
It is the body that is real,
Na ndio imekuwa kazi ya watu wa Imani kuchonga mtu kutokana na mapenzi ya Mungu neno, mwanzo alianza mtu Adam hatimae Leo tumefika Kwa mtu Christ hapo katikati wamepita watu wengi,
Noah- noble man
Abraham- man of people
Isack- mtu kazi
Nk
Mbona God ilitafsiriwa vizuri tuu kuwa Mungu, japo Mungu wa kiswahili hana ndoto
G- Great
o- power
d- dream
Kwa kiswahili
Mu- Mkuu,
ngu- nguvu
Na badala ya mkuu ilipaswa kuwa ukuu ili neno libaki kuwa neno, lakini Leo utawasikia waswahili wakiimba Mungu ni Mkuu, wamempa Mungu utu
Ni mara mia ya mchawi aliyechagua kupaa na Ungo
U- Ukuu
ng- nguvu
o- ndoto
Ndugu watanzania haya ni maneno, na yanawahusu ninyi watu, man is ideal, man is not real, ndio maana waswahili hutamba kuwa mtu atabadilika tuu, mwili ukibadilika basi ujue unaumwa
Ni kama Plato alivyotuachia neno Gap- Guardian auxiliary producer.
Ukimuona yesu au Mungu kama mtu nje ya mwili wako basi ujue una mapepo,
Jesus ni mfano tuu wa Christ man kutoka Kwa watu wa theolojia na falsafa, japo hizi sifa asili yake ni utumwa,
Christ man was born when Jewish were enslaved by Romans,
Nyani anapaa mbinguni kufata Nini?
Wanangu tupo kwenye pori kubwa, na sisi ni wanyama kama alivyo simba na swala, tofauti ni hii ya kutembea na miguu miwili, ndio inazaa story na mapepo yasiyo na mwisho, kwakua mwili umeondoka kwenye asili yake ya mwanzo, ni lini uliwahi kusikia simba analalamikia maumivu ya mgongo, au anazaa kiumbe kinachohitaji kuzingushiwa matambara
Man is plastic, sisi ni wanyama tuliosahau tulipotoka, mtu(ideal) ndio anaumbwa na mungu(ideal) sio mwili, huu mwili unatoka kwenye asili, na asili tafsiri yake ni njama(nature is hostile)