Ushahidi huu unathibitisha Yesu ni Mungu

Ushahidi huu unathibitisha Yesu ni Mungu

Wewe kweli ni meneja wa makampuni ya wajinga,siyo kila andiko ni la kuamini na wala biblia hakuna ushahidi wa kutosha kuwa ndicho kitabu cha kweli kutoka kwa Mungu wa kweli kwani wakati kinatungwa na wazungu haikuwa kwaajili ya wao ila kwaajili ya kuwapumbaza Waafrika ili wawe watiifu kwa kuzingatia maudhui na uhalisia wa tamaduni zao ndiyo maana majina na mifano yote ndani ya biblia asili yake mi uzunguni.

WAAFRIKA AMKENI!!
Yesu Kristo ni Mungu wa kweli mimi ninao ushahidi wa kutosha zaidi ya maandiko.
 
Wewe kweli ni meneja wa makampuni ya wajinga,siyo kila andiko ni la kuamini na wala biblia hakuna ushahidi wa kutosha kuwa ndicho kitabu cha kweli kutoka kwa Mungu wa kweli kwani wakati kinatungwa na wazungu haikuwa kwaajili ya wao ila kwaajili ya kuwapumbaza Waafrika ili wawe watiifu kwa kuzingatia maudhui na uhalisia wa tamaduni zao ndiyo maana majina na mifano yote ndani ya biblia asili yake mi uzunguni.

WAAFRIKA AMKENI!!
Wazungu wengi leo ndio wanaoongoza katika kumwabudu Yesu Kristo kwa roho na kweli. Wahubiri mashuhuri duniani, pamoja na waimbaji maarufu wa nyimbo za injili, ni kutoka mataifa ya Magharibi. Hili linaonyesha jinsi Injili ilivyopokelewa kwa dhati katika jamii zao.

Mfano hai ni aliyekuwa Rais wa Marekani, Donald Trump. Pamoja na kuwa kiongozi wa taifa tajiri duniani, alimtambua Yesu Kristo kama Bwana na Mwokozi wake. Mara kadhaa ameonekana akiwa amepiga goti kumuomba Mungu kwa unyenyekevu mkubwa. Hili linaonesha kuwa hata katika nafasi za juu za mamlaka, Yesu Kristo anapewa heshima. Ukiichukua dola ya Marekani (dollar bill) ya thamani yoyote, utaona imeandikwa maneno haya: "In God We Trust". Taifa tajiri linatambua kuwa chanzo cha mafanikio yao ni Mungu.

Kwa hiyo ndugu yangu, usidanganyike. Yesu Kristo ndiye njia, kweli, na uzima. Ndiye Mkombozi wa wanadamu wote. Amegusa na kubadilisha maisha ya watu wengi sana duniani kutoka maisha ya dhambi na giza, hadi kuwa watu wa nuru, maadili, na matumaini. Ametuletea amani, upendo, msamaha, na uzima wa milele.

Kwa upande mwingine, dini nyingi za jadi za Kiafrika zimekosa vigezo muhimu vya kuonesha ufunuo wa Mungu wa kweli aliyeziumba mbingu na nchi. Ustaarabu wa Mbinguni unajengwa juu ya maadili kama amani, upendo, furaha, uvumilivu, ustahimilivu, na utakatifu. Lakini katika baadhi ya mila na tamaduni za kidini za Kiafrika, kuna mambo kama kurogana, visasi, na woga usio wa kiroho. Haya yote yanapingana na tabia ya Mungu wa kweli.

Yesu Kristo ndiye nuru ya ulimwengu. Kumfuata Yeye ni kuchagua maisha ya uzima wa sasa na wa milele.

Screenshot_20250504_085546_Gallery.jpg


images (10).jpeg
 
Hujaandika lile alimwambia maria 'usinishike,kwa maana sijapaa kwenda kwa baba,lakini nenda kawaambie ndugu zangu,napaa kwenda kwa baba,baba yangu baba yao,Mungu wangu Mungu wao'..na lile walomwita mwalimu mwema,akakataa asiitwe mwema kwani mwema ni Mungu aliye mbinguni
Hawa cjui kwann wanafosi awe Mungu mim ni mkristo ila siamin kama Yesu ni Mungu
 
Huenda iyo biblia yenyewe imechakachuliwa sana adi wew unaisoma
 
Wazungu wengi leo ndio wanaoongoza katika kumwabudu Yesu Kristo kwa roho na kweli. Wahubiri mashuhuri duniani, pamoja na waimbaji maarufu wa nyimbo za injili, ni kutoka mataifa ya Magharibi. Hili linaonyesha jinsi Injili ilivyopokelewa kwa dhati katika jamii zao.

Mfano hai ni aliyekuwa Rais wa Marekani, Donald Trump. Pamoja na kuwa kiongozi wa taifa tajiri duniani, alimtambua Yesu Kristo kama Bwana na Mwokozi wake. Mara kadhaa ameonekana akiwa amepiga goti kumuomba Mungu kwa unyenyekevu mkubwa. Hili linaonesha kuwa hata katika nafasi za juu za mamlaka, Yesu Kristo anapewa heshima. Ukiichukua dola ya Marekani (dollar bill) ya thamani yoyote, utaona imeandikwa maneno haya: "In God We Trust". Taifa tajiri linatambua kuwa chanzo cha mafanikio yao ni Mungu.

Kwa hiyo ndugu yangu, usidanganyike. Yesu Kristo ndiye njia, kweli, na uzima. Ndiye Mkombozi wa wanadamu wote. Amegusa na kubadilisha maisha ya watu wengi sana duniani kutoka maisha ya dhambi na giza, hadi kuwa watu wa nuru, maadili, na matumaini. Ametuletea amani, upendo, msamaha, na uzima wa milele.

Kwa upande mwingine, dini nyingi za jadi za Kiafrika zimekosa vigezo muhimu vya kuonesha ufunuo wa Mungu wa kweli aliyeziumba mbingu na nchi. Ustaarabu wa Mbinguni unajengwa juu ya maadili kama amani, upendo, furaha, uvumilivu, ustahimilivu, na utakatifu. Lakini katika baadhi ya mila na tamaduni za kidini za Kiafrika, kuna mambo kama kurogana, visasi, na woga usio wa kiroho. Haya yote yanapingana na tabia ya Mungu wa kweli.

Yesu Kristo ndiye nuru ya ulimwengu. Kumfuata Yeye ni kuchagua maisha ya uzima wa sasa na wa milele.

View attachment 3324102

View attachment 3324114
Kwaiyo aya ndo yanaonesha Yesu ni Mungu ?
 
Hapo nimemaanisha Waafrika wanadanganyana kwa kuamini kwamba dini zililetwa na wazungu ili kuwatalawa. Sasa nimekuonyesha mfano kwamba hayo mawazo ya waafrika ni potofu, wazungu ndio wanaongoza kwa kumwabudu Mungu duniani.
Wew eleza uthibitishe Yesu ni Mungu
 
Yaani kuthibitisha tu yesu ni mungu umequote mafungu bibilia nzima. Ngoja nikupe hii ndugu. Mchana huwa kuna mwanga right?, ila nikija namaneno mengi sana na kukwambia mchana huwa kuna giza na usiku kuna mbalamwezi nfo mchana , usipotoka kujiridhisha nje utaamini kuwa mchana ni usiku na usiku ndo mchana.
Hivyo unatuaminisha yesu ni mungu kwa kusoma kitabu kimoja tu, tena kitabu kilichojaa uwongo na hadithi za kutunga. Toka nje ya box soma vitabu vingine
Asante kwa hoja yako. Ni kweli kwamba kila mtu anayo haki ya kuuliza na kuchunguza kwa kina kabla ya kukubali jambo, hasa kuhusu imani. Kuhusu swali la kuthibitisha kuwa Yesu ni Mungu kwa kutumia Biblia, ni muhimu kuelewa kuwa Biblia si kitabu kimoja tu cha mtu mmoja, bali ni mkusanyo wa maandiko ya waandishi zaidi ya 40 walioishi katika vipindi tofauti kwa zaidi ya miaka 1,500, wakiongozwa na Roho wa Mungu. Principle of unification hutufundisha kuwa maandiko haya yote yanajenga hoja moja yenye mshikamano kuanzia Mwanzo hadi Ufunuo yakimtambulisha Yesu si kama nabii tu, bali kama Neno la Mungu aliyechukua mwili (Yohana 1:1-14). Hivyo basi, sio kwamba mafungu mengi yanatumika kupotosha ukweli, bali ni kwa sababu ushahidi wake umetapakaa kwenye maandiko yote, kwa namna ambayo kifungu kimoja hakiwezi kutosha peke yake, bali vinahitajika kwa pamoja kuthibitisha ujumbe mmoja.

Zaidi ya hayo, tukitumia kanuni ya unification, hata Maandiko ya Agano la Kale yaliyotangulia ujio wa Yesu yanatoa unabii wa wazi juu ya kuzaliwa kwake, maisha yake, mateso, kifo na hata kufufuka kwake (k.m. Isaya 7:14; Mika 5:2; Zaburi 22). Hii inaonyesha kuwa Biblia yenyewe ni ushahidi uliounganika wa ukweli wa Yesu Kristo. Na tukitoka nje ya Biblia, historia huru pia inathibitisha uwepo wa Yesu na athari zake duniani. Vitabu vya nje ni muhimu kwa kujifunza zaidi, lakini vinapopingana na maandiko yaliyo na muunganiko wa rohoni na kihistoria, basi maandiko hayo bado husimama imara kwa kutumia ushahidi wake wa ndani.
 
Unaleta ushahidi wa mistari ya biblia ama kweli wafia dini ni vichaa,inamaana yesu ndiye kaumba ulimwengu na viumbe vyote hapa ulimwenguni?

Wavhina,Waafrika,wazungu,nk waliumbwa na yesu ambaye ndiyo mwana-adam?

Jitahidi kuwa na akili basi hata kama huna akili

Mungu wa kweli wa watu wote huwa haonekani kwan
Katika mafundisho ya Biblia, Yesu anatajwa kuwa ndiye Neno la Mungu ambaye kwa kupitia kwake vitu vyote viliumbwa (Yohana 1:1-3; Wakolosai 1:15-17). Hii haimaanishi kwamba Yesu kama mtu wa Nazareti ndiye aliyeumba, bali Neno wa milele aliyekuwepo kabla ya mwili, aliyefanyika mtu katika Yesu. Kwa lugha nyingine, Yesu alikuwepo kama Neno kabla ya kuzaliwa kwake kimwili, na ndiye aliyetumika na Mungu kuumba ulimwengu. Hii si hoja ya ubaguzi wa rangi au kabila kwa sababu maandiko hayo yanasema wazi kwamba ulimwengu mzima na watu wote Waafrika, Wazungu, Wachina, n.k waliumbwa kupitia huyo Neno mmoja wa Mungu, kwa ajili ya mpango wake wa wokovu.

Kuhusu hoja kuwa Mungu wa kweli haonekani, hiyo ni sahihi kabisa Mungu ni Roho (Yohana 4:24). Hata hivyo, Biblia inafundisha kuwa Neno alifanyika mwili (Yohana 1:14), yaani Mungu alijifunua kwa wanadamu kwa namna ambayo wanaweza kuona, kusikia na kuelewa, ili kuwaletea wokovu. Si kila mtu lazima akubaliane na haya, lakini ni muhimu kuyajua kwa usahihi kabla ya kuyapinga. Maelezo haya hayana lengo la kushinikiza, bali kutoa nafasi ya kufikiri kwa kina, kwa mantiki, ushahidi, na heshima. Unapojisikia tayari, tunaweza kujadili maandiko haya au hata kutazama mitazamo mingine ya kidini kwa kulinganisha.
 
Hawa cjui kwann wanafosi awe Mungu mim ni mkristo ila siamin kama Yesu ni Mungu
Hata wanafunzi wa Yesu hawakuamini mara moja kuwa Yeye ni Mungu. Filipo alimwambia Yesu, “Bwana, tuonyeshe Baba, yatutosha,” Yesu akamjibu: “Yeye aliyeniona mimi, amemwona Baba” (Yohana 14:8–9). Hii inaonyesha kuwa hata waliokuwa karibu naye walihitaji kufikiri kwa kina kabla ya kuelewa asili yake ya kiungu.

Vilevile Tomaso alipomwona Yesu baada ya kufufuka, alishangaa na kusema: “Bwana wangu na Mungu wangu!” (Yohana 20:28). Yesu hakuwa akilazimisha watu waamini kwa nguvu, bali aliwaonyesha kwa maneno na matendo. Kwa hiyo, wasiwasi wako ni wa kawaida, na ni vizuri kujiuliza na kutafuta majibu, kama wanafunzi wake walivyofanya. Imani hujengwa kwa kutafakari na kuelewa, si kwa kulazimishwa.
 
1. Yesu alikufa siku Tatu.. Mungu alikufa siku Tatu.
2. Akiwa msalabani akalia yelling yelling yeloi mbona umeniacha ....
3. Yesu alisulubiwa (ko tuseme waisrael walimsurubu Mungu ??
4. Ko tuseme Mungu alijituma duniani
5. Yesu anasema yeye ni mwana. K u amanisha Mungu Ana baba ??

6. Wewe ungekua Mungu ungeweza kuzaliwa kupitia kiumbe umekiumba ??
 
Hata wanafunzi wa Yesu hawakuamini mara moja kuwa Yeye ni Mungu. Filipo alimwambia Yesu, “Bwana, tuonyeshe Baba, yatutosha,” Yesu akamjibu: “Yeye aliyeniona mimi, amemwona Baba” (Yohana 14:8–9). Hii inaonyesha kuwa hata waliokuwa karibu naye walihitaji kufikiri kwa kina kabla ya kuelewa asili yake ya kiungu.

Vilevile Tomaso alipomwona Yesu baada ya kufufuka, alishangaa na kusema: “Bwana wangu na Mungu wangu!” (Yohana 20:28). Yesu hakuwa akilazimisha watu waamini kwa nguvu, bali aliwaonyesha kwa maneno na matendo. Kwa hiyo, wasiwasi wako ni wa kawaida, na ni vizuri kujiuliza na kutafuta majibu, kama wanafunzi wake walivyofanya. Imani hujengwa kwa kutafakari na kuelewa, si kwa kulazimishwa.


Akili zako ni mgando sana.

Yan siwez kuandika kumwelekeza mtu kama wewe.

Yesu ni MWAKILISHI WA MUNGU.

EMMANUEL ### MUNGU PAMOJA NASI.

HAKUNA ATAKAEFIKQ KWA BABA BILA KUPITIA KWAKE.


NAYE AMEMTOA MWANQE WA PEKEE.

YANI NTAKURAMBA VIBAO WE BINTI WEWE.



kwanza umeolewa wewe ??
 
Back
Top Bottom