meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,349
- 4,674
Jamaa kakataaa kuwa "Punda''
Tunapenda kulalamika sana, sasa ajabu yao ni nini? Terms and conditions lazima zizingatiwe.
Jamaa kakataaa kuwa "Punda''
Brazuka ni tofauti na ile promosheni ya coca cola. Kwa kuwa wamesema mshindi lazima apatikane, wangetafuta mshindi mwingine kwani walioshiriki ni wengi. Huyo kwa kuwa kashinda na anauguliwa eti shindani ndio linaishia hapo, huo kama sio utapeli ni nini?Brazuka kwani ni promotion ya clouds au Ya cocacola?
Na kama mtu kakataa kwenda Brazil anauguliwa na wazazi utapeli wa clouds upo wapi hapo??
najisikia vibaya hata ni kwanini rais kikwete alienda kufungua moja ya huduma zao.wanatia kichefu chefu sana.hao ni manyang'au
Umenifumbua macho.
Pia lile shindano la ubunifu wa nembo ya Taifa (miaka 50 ya Muungano wa Tz) waliahidi milioni 1 kwa mshindi. Sijui ni mimi tu sikusikia mshindi akitangazwa, maana lilipotea ghafla.
tena wakamwambia {dj fetty}basi wamuonnee huruma wampe tishet 2 huyo mshindi...nikachoka kabisaaaa!!!
Polisi wafanye kazi yao wamtafute mama mgonjwa, na wamuhoji kwa kina kama clouds hawataingia kwenye scandal
Clouds media imejaa utapeli mtupu,....
Brazuka kwani ni promotion ya clouds au Ya cocacola?
Na kama mtu kakataa kwenda Brazil anauguliwa na wazazi utapeli wa clouds upo wapi hapo??