Nikweli nakili ninachuki, tena chuki ile ya kihafidhina kabisa,
Chuki yangu inatukia pale ninapoona wale wanaotumia kila hila kukivuruga chama ambacho ni tumaini jipya la watanzania,
Chama ambacho watu wamejitolea kumwaga damu na jasho lao kukipigania,
Naikumbuka damu ya wanaarusha 2011, nailumbuka namu ya wanaigunga, naikumbuka damu ya kijana wa morogoro, naikumbuka damu ya Mwangosi, naikumbuka damu ya soweto,
Kwakweli nakumbuka mateso ya viongozi wa chadema, nakumbuka meeeeeeengi!
Lakini nakumbuka kuwa katika wanachadema na viongozi, mtu pekee ambae hajaguswa na hata moshi wa bomu tu ni Zitto Zuber Kabwe,
Huyu haijui mahabusu wala haijui pingu ya kisiasa,
Kinyume chake anashirikiana na maharamia ya ccm kuhuju chadema,
Why nisiwe na chuki? Basi nitakuwa mjinga wa mwisho nikimshangilia Zitto kwa uzandiki wake huu,