Usaliti katika ndoa

Usaliti katika ndoa

Kwakuwa utakuwa umeshazaa naye watoto si vema kumurudisha makwao. Jitahidi kufanya kama alivyokufanyia. Kuanzia ulipogundua anza kutembea na kila mwanamke anayekuvutia hata kama ni dada yake, mamake, shangazi yake, wifi yake au rafiki yake na kama ana kaka shoga wee twanga tuuuu akikuuliza kulikoni mwambia ulianza wewe mimi namalizia.

Dooohhh....umetishaaaa
 
ni mjasiliamali tu.......!

tena shughul ambazo, za kawaida na zinampa mapumziko hata wiki mbili had mwezi, lakn ajabu hupumzika hukohuko aliko!

dada ashalalamika sana hadi kwa wakwe lakn a man ni more than busy...........!
 
Duh, kaoa apate mlinzi wa nyumba na kufanya usafi
 
Karibu mwanza

Asante my dear! Baada ya ujio wa pamaja kupata ukakasi, I'm looking foward to come alone!

cc: charminglady

Nakubaliana na wewe kwamba katika Biblia, ni jambo moja tu ambalo kwa hilo ndoa imeruhusiwa kuvunjika nalo ni zinaa.
Naomba ieleweke kwamba mmke anaweza kumuacha mume kwa zinaa vilevile.

Na hapo ni kama msamaha utashindikana kwa sababu biblia hiyohiyo inatufundisha kusamehe na kuwa na upendo bila kuhesabu mabaya.
Nafikiri katika makosa yote hili la kusaliti linakua gumu kusamehe lakini haimaanishi haiwezekani kusamehe.

Mwisho kabisa, hakuna jibu linalotosheleza mazingira yote ya nini kitatokea, unweza kusema utaua mtu na usifanye hivyo, unaweza kusema utamwacha mme/mke wako na usifanye hivyo, unaweza kusema utamsamehe na ukampiga na kumwacha juu. Mazingira ya wakati huo yanachangia sana kuamua nini kinafanyika.

Cha msingi tu ni kujua kwamba usaliti wowote ule kwa mme/mmke una madhara makubwa sana kwenye mahusiano.

Pamoja sana! Ila hapo kwenye red embu funguka zaidi!

Hivi unajua nimekumiss sana hadi nasikia kuumwa?Mzima Filipo?

Oooho thanks Honey! Me too... Nimerudi sasa, utaniona ona!
 
Last edited by a moderator:
Na utakapogundua mmeo mpendwa anakusaliti na akaomba msamaha utafanyaje?:angry: Kila siku naona mke mke lloooooh

Nitamsaliti mke wangu iwapo nitakosbaadhi ya vitu....fulani ...fulani..teh teh:A S wink:
 
Mi mwenyewe ni msaliti mzuri tu wa ndoa yangu lakini sijawahi kukamatikwa, sasa sijui nikikamatikwa itakuwaje? Na ninafanya hivyo makusudi ili niachane na huyu mume niliyenae maana kila wakati namwambia tuachane hataki.

Duh...aiseee
 
Ndoa zinachangamoto sana...ukiwa huchukui maamuzi ya kukurupuka utafanikiwa...mpk usaliti utokee tena kwa mwananmke lazima kuna tatizo tu.
 
mhhh,ni ngumu kwa mwanamke kusamehewa,ila wanawake tunaroho za huruma sana,huwa tunawasamehe,so uamuzi wa kusamehe au kuacha anao mume,nyie mnapoteza muda tu
 
Asante my dear! Baada ya ujio wa pamaja kupata ukakasi, I'm looking foward to come alone!

cc: charminglady



Pamoja sana! Ila hapo kwenye red embu funguka zaidi!



Oooho thanks Honey! Me too... Nimerudi sasa, utaniona ona!

Abeee... mume ya marejesho, umeniita ati!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom