Usaliti katika ndoa

Usaliti katika ndoa

Mi mwenyewe ni msaliti mzuri tu wa ndoa yangu lakini sijawahi kukamatikwa, sasa sijui nikikamatikwa itakuwaje? Na ninafanya hivyo makusudi ili niachane na huyu mume niliyenae maana kila wakati namwambia tuachane hataki.
 
Kwakuwa utakuwa umeshazaa naye watoto si vema kumurudisha makwao. Jitahidi kufanya kama alivyokufanyia. Kuanzia ulipogundua anza kutembea na kila mwanamke anayekuvutia hata kama ni dada yake, mamake, shangazi yake, wifi yake au rafiki yake na kama ana kaka shoga wee twanga tuuuu akikuuliza kulikoni mwambia ulianza wewe mimi namalizia.

Duuuuh, mkuu wewe mafia sana
 
mleta mada amesema USALITI KTK NDOA...!
sasa naona mnaanza kuegemea kwa wanawake tu...!
usaliti ktk ndoa unavyanzo vingi...! lazma ziangaliwe sababu ktk pande zote...!

Mfano:-
kuna ndoa ya kaka mmoja imefika mahal ni shida, ME yuko bize kiasi aliwahi safir mtoto wake ametoka kuzaliwa baada ya wiki mbili tu akasafir ( tanzania hapahapa, yaan alikuwa anbadilisha mikoa tu) alirud mtoto anatembea (mwaka na miez mitatu) kakaa wiki mbili kasepa.

kwa hali hiyo ukisalitiwa utamlaumu nani?

Me anafanya kazi za minara ya simu au?
 
Bora Wewe Ila Mimi Sina Hata Mpango Wa Kuoa. Dada Zetu Wa Leo Ni Pasua Vichwa!

Mmh na nyie mnajiona Kama miungu watu! Hata nyie ni pasua vichwa balaa ukiamua kuoa au kuolewa unajipanga kwa lolote maana ndoa ni kaburi la mapenzi!
 
Mi mwenyewe ni msaliti mzuri tu wa ndoa yangu lakini sijawahi kukamatikwa, sasa sijui nikikamatikwa itakuwaje? Na ninafanya hivyo makusudi ili niachane na huyu mume niliyenae maana kila wakati namwambia tuachane hataki.

Mmmh... Tanya unaniogopesha. Umemwambia kweli na hataki?
 
Mi mwenyewe ni msaliti mzuri tu wa ndoa yangu lakini sijawahi kukamatikwa, sasa sijui nikikamatikwa itakuwaje? Na ninafanya hivyo makusudi ili niachane na huyu mume niliyenae maana kila wakati namwambia tuachane hataki.

Mmh majanga! Mumeo hana mguu wa kuku?
 
The ministres of inside things has resign off this thread b,coz is not true to let your wife bcz of intercourse.
 
Kwakuwa utakuwa umeshazaa naye watoto si vema kumurudisha makwao. Jitahidi kufanya kama alivyokufanyia. Kuanzia ulipogundua anza kutembea na kila mwanamke anayekuvutia hata kama ni dada yake, mamake, shangazi yake, wifi yake au rafiki yake na kama ana kaka shoga wee twanga tuuuu akikuuliza kulikoni mwambia ulianza wewe mimi namalizia.

Vitu vingine ufanye kwa nafsi yako na kujihurumia tu! Sasa hapo si unajikomoa tu! Ukienda kuyavaa magonjwa huko!!
 
Mi mwenyewe ni msaliti mzuri tu wa ndoa yangu lakini sijawahi kukamatikwa, sasa sijui nikikamatikwa itakuwaje? Na ninafanya hivyo makusudi ili niachane na huyu mume niliyenae maana kila wakati namwambia tuachane hataki.

Kaaaaaz kwel kwel!!
 
"Mke hata achwa ila kwa zinaa" - Bible

Usipomwacha utakuwa unatenda dhambi!

Nakubaliana na wewe kwamba katika Biblia, ni jambo moja tu ambalo kwa hilo ndoa imeruhusiwa kuvunjika nalo ni zinaa.
Naomba ieleweke kwamba mmke anaweza kumuacha mume kwa zinaa vilevile.

Na hapo ni kama msamaha utashindikana kwa sababu biblia hiyohiyo inatufundisha kusamehe na kuwa na upendo bila kuhesabu mabaya.
Nafikiri katika makosa yote hili la kusaliti linakua gumu kusamehe lakini haimaanishi haiwezekani kusamehe.

Mwisho kabisa, hakuna jibu linalotosheleza mazingira yote ya nini kitatokea, unweza kusema utaua mtu na usifanye hivyo, unaweza kusema utamwacha mme/mke wako na usifanye hivyo, unaweza kusema utamsamehe na ukampiga na kumwacha juu. Mazingira ya wakati huo yanachangia sana kuamua nini kinafanyika.

Cha msingi tu ni kujua kwamba usaliti wowote ule kwa mme/mmke una madhara makubwa sana kwenye mahusiano.
 
Mtu akifumwa kwa uzinzi adhabu yake nikumsamehe na uamuzi wake nikumuacha,yaan panakuwa hakuna ndoa tena hapo..maana pia kusamehe ni adhabu tosha yakiakili kwa mambo kama hayo...
 
Kwakuwa utakuwa umeshazaa naye watoto si vema kumurudisha makwao. Jitahidi kufanya kama alivyokufanyia. Kuanzia ulipogundua anza kutembea na kila mwanamke anayekuvutia hata kama ni dada yake, mamake, shangazi yake, wifi yake au rafiki yake na kama ana kaka shoga wee twanga tuuuu akikuuliza kulikoni mwambia ulianza wewe mimi namalizia.
mkuu hapa lazima utazawadiwa nishani ya Ukimwi...
 
Mi mwenyewe ni msaliti mzuri tu wa ndoa yangu lakini sijawahi kukamatikwa, sasa sijui nikikamatikwa itakuwaje? Na ninafanya hivyo makusudi ili niachane na huyu mume niliyenae maana kila wakati namwambia tuachane hataki.
kwani lazima muachane kwa ubaya!!, wewe kama umemchoka si usepe tu!, maana siku akikufumania anaweza akuchome moto nyeti zako au ukasababisha mchepuko wako akaliwa tigo halafu uanze kulalamika oooh nimenyanyaswa kijinsia, dah wanawake mnakuaga na roho nzito nyie!!
 
Back
Top Bottom