GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,277
- 6,673
Nimetafakari kwa muda mrefu, ni miongoni mwa watu ambao kwa kiasi
Kikubwa nimekuwa nikiilaumu idara hii nyeti kuwa haifanyi kazi yake
Ipasavyo, nimegundua kuwa siko sahihi.
Ninachokiona hapa ni kuwa idara ya usalama wa Taifa imengolewa meno
na wanasiasa hivyo kuwa fanya wanasiasa ndio wapange idara iwe vipi na
iendeshwe vipi badala ya usalama wa Taifa kupanga siasa iwe vipi na iendeshwe
Vipi. Nahisi hawa jamaa wamekuwa wanafanya kazi ya ziada ya kuishauri serikali
Lakini inakuwa ngumu kutokana na hicho nilichokieleza.
MAONI YANGU:
Mkurugenzi wa usalama wa Taifa awajibike moja kwa moja kwa wananchi na
Si kwa Rais, ninachokusudia hapa ni kuwa kama kuna tatizo lolote ambalo
Linatakiwa kutolewa ufafanuzi na usalama wa Taifa au hata kama Mkurugenzi
Wa usalama wa Taifa anataka kuwajibishwa basi jukumu hilo lisiwe la Rais
Na badala yake lifanywe na Bunge moja kwa moja. Kama ni kujitetea n.k Mkurugenzi
Ajitetee mbele ya bunge ambalo ndilo linawakilisha wananchi.
Hili litasaidia Watu hawa kufanya kazi kwa uhuru zaidi na kwa manufaa ya Taifa.
Tutamlaumu sana OC lakini hana meno na anawajibika kwa Bosi wake ambaye ni
Raisi. Inakuwa ngumu hata kufuatilia ishu za maswaiba wa Rais, lakini likishapewa
meno ni jambo rahisi.
AMANI KWENU.
Kikubwa nimekuwa nikiilaumu idara hii nyeti kuwa haifanyi kazi yake
Ipasavyo, nimegundua kuwa siko sahihi.
Ninachokiona hapa ni kuwa idara ya usalama wa Taifa imengolewa meno
na wanasiasa hivyo kuwa fanya wanasiasa ndio wapange idara iwe vipi na
iendeshwe vipi badala ya usalama wa Taifa kupanga siasa iwe vipi na iendeshwe
Vipi. Nahisi hawa jamaa wamekuwa wanafanya kazi ya ziada ya kuishauri serikali
Lakini inakuwa ngumu kutokana na hicho nilichokieleza.
MAONI YANGU:
Mkurugenzi wa usalama wa Taifa awajibike moja kwa moja kwa wananchi na
Si kwa Rais, ninachokusudia hapa ni kuwa kama kuna tatizo lolote ambalo
Linatakiwa kutolewa ufafanuzi na usalama wa Taifa au hata kama Mkurugenzi
Wa usalama wa Taifa anataka kuwajibishwa basi jukumu hilo lisiwe la Rais
Na badala yake lifanywe na Bunge moja kwa moja. Kama ni kujitetea n.k Mkurugenzi
Ajitetee mbele ya bunge ambalo ndilo linawakilisha wananchi.
Hili litasaidia Watu hawa kufanya kazi kwa uhuru zaidi na kwa manufaa ya Taifa.
Tutamlaumu sana OC lakini hana meno na anawajibika kwa Bosi wake ambaye ni
Raisi. Inakuwa ngumu hata kufuatilia ishu za maswaiba wa Rais, lakini likishapewa
meno ni jambo rahisi.
AMANI KWENU.