Hellow JF,
Mnaendeleaje na pilika za maisha za kujenga taifa letu..nlikuwa naomba msaada wa kujua kama dereva unapokamatwa na traffic kipi kinachoanza baina ya askari kukuambia utoe leseni au dereva kujua ni nini sababu ya traffic kukusimamisha?maana Leo nimepigwa faini baada tu ya kutoa leseni huku kosa nikiwa bado sijalijua,na baada ya kuandikiwa ndipo kosa naambiwa ikiwa aliyefanya ni mwingine,imenihuzunisha mno! Na mbaya zaidi hakuna pa kwenda kujitetea
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnaendeleaje na pilika za maisha za kujenga taifa letu..nlikuwa naomba msaada wa kujua kama dereva unapokamatwa na traffic kipi kinachoanza baina ya askari kukuambia utoe leseni au dereva kujua ni nini sababu ya traffic kukusimamisha?maana Leo nimepigwa faini baada tu ya kutoa leseni huku kosa nikiwa bado sijalijua,na baada ya kuandikiwa ndipo kosa naambiwa ikiwa aliyefanya ni mwingine,imenihuzunisha mno! Na mbaya zaidi hakuna pa kwenda kujitetea
Sent using Jamii Forums mobile app