Njowepo
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 9,710
- 2,226
Leo kwa macho yangu nimeshuhudia traffic akisimamisha gari la mbele yetu ghafla kiasi kama si gari yetu kutokuwa na brake nzuri basi jamaa tungemvaa
Mbaya zaidi uyu traffic amekaa kwenye kona na anapile up magari nadhani ajari ikitokea atakimbia tuu as haiingii akilini kusimamisha magari pale
Ni maeneo fulani kati ya kibaha na mlandizi
Jamani traffic tusiwe chanzo cha ajari na mambo ya kuvizia magari alafu unalisimamisha ghafla mtajasababisha maafa!
Mbaya zaidi uyu traffic amekaa kwenye kona na anapile up magari nadhani ajari ikitokea atakimbia tuu as haiingii akilini kusimamisha magari pale
Ni maeneo fulani kati ya kibaha na mlandizi
Jamani traffic tusiwe chanzo cha ajari na mambo ya kuvizia magari alafu unalisimamisha ghafla mtajasababisha maafa!