Sumu ya nyigu
Member
- May 18, 2019
- 57
- 110
Wakuu naombeni ufafanuzi kidogo kwa mwenye ufahamu kuhusu mfumo wa usajiri wa wachezaj bongo. Tunaposema mchezaji kasajiriwa kwa dau la 80 million mfano, tafsiri yake ni nini? I mean in terms of monthly payments ikoje, au hyo pesa ya usajiri ni tofauti na mshahara wa Kila mwezi? Mwenye info please!
Nawasilisha.
Nawasilisha.