Emmanuel Robinson
JF-Expert Member
- May 29, 2013
- 1,503
- 1,139
Hongera utumishi japo itaongeza gharama lakini haki itendeke sasa naomba muwachukulie hatua wale wote waliohusika katika kuhujumu mtihani.
Naunga hoja kila ulichokisema mdau.Yaani kabla ya kurudia usaili Mwingine,(1)TAKUKURU IINGIE KAZINI.HAO MAAFISA WOTE WALIOHUSIKA KUVUJISHA MITIHANI HIYO,WASIMAMISHWE KAZI NA KUFUKUZWA WOOOTE.Maana wameleta hasara na aibu kubwa kwenye hii secretariet.Ina maana haitaaminika Tena ki-vyovyote vile kwa Wa-Tanzania."Naamini TAKUKURU kwao hii Ni kazi ndogo Sana kuwabaini Hawa wahalifu.Watakaobanika pia wafunguliwe mashtaka ya uhujumu uchumi,maana Hapa Serikali umepoteza pesa na muda.Pia Vijana wetu wamepoteza kwenye nauli na hoteli za kulala hata like kidogo walichokuwa nacho.
(2)Waziri wa Utumishi aunde tume kuchunguza hii kashfa.Maana inaelekea huu ndio mchezo wao.Huko nyuma kwenye usaili zolizopita Lazima ujinga huu umekuwa ukifanyika.PIA HIYO SECRETARIET IVUNJILIWE MBALI,maana imepoteza credibility.Bora usaili utakaporudiwa,Serikali itumie kampuni Makini ambazo Ni International,kusimamia hUO usaili upya.(3)Papers zote za wasahiliwa zipitiwe kwa umakini wakati wa kusahihisha Ili kugunduaWale wote waliopata hUO mtahani watajulikana,maana watakuwa wameandika majibu extra ordinary na kufaulu kwa max za juu Sana.Hawa nao wabanwe waeleze jinsi na Ni akina Nani waliwapa Hiyo mitihani.Pia wapigiwe marufuku kufanya usaili wa marudio na marufuku kuomba kazi kupitia SECRETARIET ya ajira.
Waweza kuta marking scheme mtandaoni wameweka wao utumishi makusudi tu huwezi jua ajenda yao na wanataka justify nini, ila lisiwe la mtihani kutovujaYaani mpk marking scheme imevujishwa mitandaoni mzee baba.😄😄
Sijaelewa ulichokiandika mkuuWaweza kuta marking scheme mtandaoni wameweka wao utumishi makusudi tu huwezi jua ajenda yao na wanataka justify nini, ila lisiwe la mtihani kutovuja
Nilichomanisha bado siamini kuwa pepa na marking scheme kama ilivyotumwa humu vyote vilivuja,Sijaelewa ulichokiandika mkuu
If A=B,B=C then A=CNilichomanisha bado siamini kuwa pepa na marking scheme kama ilivyotumwa humu vyote vilivuja,
Sasa ikiwa marking scheme haikuvuja na imepostiwa imevuja, yaweza halalisha mitihani haikuvuja Jambo ambalo si kweli
Ushawahi ona marking scheme ya paper za necta au za hao hao UTUMISHI? ndio ujue mtu alipewa na hayo majibuNilichomanisha bado siamini kuwa pepa na marking scheme kama ilivyotumwa humu vyote vilivuja,
Sasa ikiwa marking scheme haikuvuja na imepostiwa imevuja, yaweza halalisha mitihani haikuvuja Jambo ambalo si kweli
Yaani kirahisi rahisi hadi marking scheme yatolewa basi ni balaa,Ushawahi ona marking scheme ya paper za necta au za hao hao UTUMISHI? ndio ujue mtu alipewa na hayo majibu
Wakifanya hivyo watoto wao vilaza watapitaje?Ilivuja necta 98, wakafuta na watu kurejea tena mitihani mapema 99.
Hii inji ipo kimipango sana.
Maoni yangu,
Utumishi watoke huku kwenye manual interview (analojia) waende kidigitali zaidi.
Ngoma ziwe online, ukisubmit tu inakupa score na mrejesho kama unaenda sec round.
Nimeiona hiyo daJF kuna vituko. Kuna mdau alimshauri yule mleta mada iyo laki 2 ya nauli angekodi shamba heka na kulima maharage
Yaani kabla ya kurudia usaili Mwingine,(1)TAKUKURU IINGIE KAZINI.HAO MAAFISA WOTE WALIOHUSIKA KUVUJISHA MITIHANI HIYO,WASIMAMISHWE KAZI NA KUFUKUZWA WOOOTE.Maana wameleta hasara na aibu kubwa kwenye hii secretariet.Ina maana haitaaminika Tena ki-vyovyote vile kwa Wa-Tanzania."Naamini TAKUKURU kwao hii Ni kazi ndogo Sana kuwabaini Hawa wahalifu.Watakaobanika pia wafunguliwe mashtaka ya uhujumu uchumi,maana Hapa Serikali umepoteza pesa na muda.Pia Vijana wetu wamepoteza kwenye nauli na hoteli za kulala hata like kidogo walichokuwa nacho.
(2)Waziri wa Utumishi aunde tume kuchunguza hii kashfa.Maana inaelekea huu ndio mchezo wao.Huko nyuma kwenye usaili zolizopita Lazima ujinga huu umekuwa ukifanyika.PIA HIYO SECRETARIET IVUNJILIWE MBALI,maana imepoteza credibility.Bora usaili utakaporudiwa,Serikali itumie kampuni Makini ambazo Ni International,kusimamia hUO usaili upya.(3)Papers zote za wasahiliwa zipitiwe kwa umakini wakati wa kusahihisha Ili kugunduaWale wote waliopata hUO mtahani watajulikana,maana watakuwa wameandika majibu extra ordinary na kufaulu kwa max za juu Sana.Hawa nao wabanwe waeleze jinsi na Ni akina Nani waliwapa Hiyo mitihani.Pia wapigiwe marufuku kufanya usaili wa marudio na marufuku kuomba kazi kupitia SECRETARIET ya ajira.
Huu uzi umepoa sanaaJuzi kuna mdau aliandika kuwa mitihani ya usaili wa Tax Officers wa TRA umevuja na walikuwa wanasove pepa wakiwa kwenye magari kuelekea Dodoma kwenye usaili. Sasa sekretariet imesema usaili umeahirishwa bila hata kutoa sababu zinazoeleweka.
Kuna kaharufu ka uozo hapa.
Pia, Soma=> Mtihani wa usaili wa Tax Officer (TRA) wavuja