Parody
Member
- Sep 13, 2020
- 24
- 69
Juzi kuna mdau aliandika kuwa mitihani ya usaili wa Tax Officers wa TRA umevuja na walikuwa wanasove pepa wakiwa kwenye magari kuelekea Dodoma kwenye usaili. Sasa sekretariet imesema usaili umeahirishwa bila hata kutoa sababu zinazoeleweka.
Kuna kaharufu ka uozo hapa.
Pia, Soma=> Mtihani wa usaili wa Tax Officer (TRA) wavuja
Kuna kaharufu ka uozo hapa.
Pia, Soma=> Mtihani wa usaili wa Tax Officer (TRA) wavuja