Naiona hatari ya uwepo wa kundi kubwa la vijana wasiyo na kazi au shughuli maalum (idle) na wasiyokuwa organised. Ikitokea mtu, watu au kundi la watu wa kuwa-organise kwa namna ya kuharibu ni hatari.
Naiona hatari ya uwepo wa kundi kubwa la vijana wasiyo na kazi au shughuli maalum (idle) na wasiyokuwa organised. Ikitokea mtu, watu au kundi la watu wa kuwa-organise kwa namna ya kuharibu ni hatari.
Kweli kbs Mkuu, inawezekana kazi unayofanya kipato chake hakiendani na elimu/ uzoefu wako, au wakati mwingine unapata kipato kizuri ila hutumii elimu/ ujuzi wako......yote ni matatizo ya ajira