EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
Hivi karibuni Shirika la Viwango Tanzania (TBS) lilitangaza nafasi mbalimbali za kazi kupitia tovuti yake. Tayari watahiniwa wameshachaguliwa kwa ajili ya kufanya mtihani wa kuandika kuanzia leo tarehe 31 Julai 2014 mpaka tarehe 1 Agosti 2014 katika ukumbi wa Yombo (University of Dar Es Salaam). TBS ilitangaza jumla ya nafasi 47. Kwa haraka haraka zaidi ya watu 7,450 wamechaguliwa kufanya mtihani huo wa kuandika. Zifuatatizo ni nafasi zilizotangazwa na idadi ya watahiniwa walioitwa kufanya mtihani.
Kwa mfano kama nafasi ni 47 unapaswa kufanya usaili kwa watu wasiozidi 94. Ila sijui hili pendekezo la ILO ni binding na linatumika pia katika kufanya mtihani ya kuandika.
- Assistant Accountant II- nafasi 3. Walioitwa kwenye usaili ni watu 1,360.
- Assistant Internal Auditor Control II – nafasi 2. Walioitwa kwenye usaili ni watu 266
- Accounts Technicians II – nafasi 1. Walioitwa kwenye usaili ni watu 305.
- Human Resource Officer II – nafasi 2. Walioitwa kwenye usaili ni watu 857.
- Standards Officer II - nafasi 3. Walioitwa kwenye usaili ni watu 211.
- Quality Assurance Officer II. Nafasi 10. Walioitwa kwenye Usaili ni watu 752
- Metrologist II – nafasi 3. Walioitwa kwenye usaili ni watu 117.
- Maintenance Engineer II – nafasi 1. Walioitwa kwenye usaili ni watu 89
- Maintenance Technician II – nafasi 1. Walioitwa kwenye usaili ni watu 88.
- Laboratory Assistant II – nafasi 1. Walioitwa kwenye usaili ni watu 61.
- Laboratory Technician II – nafasi 2. Walioitwa kwenye usaili ni watu 141.
- Computer System Technician I – nafasi 1. Walioitwa kwenye usaili ni watu 307.
- Personal Secretary II – nafasi 3. Walioitwa kwenye usaili ni watu 247.
- Corporate and Public Affair Officer II – nafasi 1. Walioitwa kwenye usaili ni watu 342.
- Driver II – nafasi 6. Walioitwa kwenye usaili ni watu 408
- Editor II – nafasi 1. Walioitwa kwenye usaili ni watu 71
- Legal Officer II – nafasi 1. Walioitwa kwenye usaili ni watu 140
- Librarian II – nafasi 1. Walioitwa kwenye usaili ni watu 80.
- Record Management Assistant I – nafasi 1. Walioitwa kwenye usaili ni watu 203.
- Record Management Assistant II – nafasi 2. Walioitwa kwenye usaili ni watu 501.
- Senior Marketing Officer II – nafasi 1. Walioitwa kwenye usaili ni watu 167.
- Packaging Technology Centre Mananger – Nafasi 1. Hakuna aliyeitwa kwenye usaili.
Kwa mfano kama nafasi ni 47 unapaswa kufanya usaili kwa watu wasiozidi 94. Ila sijui hili pendekezo la ILO ni binding na linatumika pia katika kufanya mtihani ya kuandika.