Maswali ya usaili wa Utumishi

Dom2

Member
Jul 15, 2021
72
99
Habari za leo wanajukwaa wote.

Naombeni msaada kwa haya yafuatayo kuhusu interview(usaili) za utumishi maarufu PSRS (ajiraportal).
1. Usaili wa utumishi unajibiwa kwa "essay au short answers' tu?

2. Naomba possible Questions za maswali ya "Social welfare officer na Mkufunzi wa lugha ya Kingereza" kwa waliowahi kufanya interview hizo.

Natumaini ombi langu mtalifanyia kazi.

Namuomba Mwenyezi Mungu awabariki wote watakaonisaidia ombi hili.
 
Habari za leo wanajukwaa wote.

Naombeni msaada kwa haya yafuatayo kuhusu interview(usaili) za utumishi maarufu PSRS (ajiraportal).
1. Usaili wa utumishi unajibiwa kwa "essay au short answers' tu?

2. Naomba possible Questions za maswali ya "Social welfare officer na Mkufunzi wa lugha ya Kingereza" kwa waliowahi kufanya interview hizo.

Natumaini ombi langu mtalifanyia kazi.

Namuomba Mwenyezi Mungu awabariki wote watakaonisaidia ombi hili.
Mkuu jiandae na aptitude test tu.

Zijue boarder za TZ na mengineyo yahusu hayo.
 
Back
Top Bottom