Kokwa kavu
JF-Expert Member
- Jan 3, 2012
- 220
- 41
kwa anayejua kuhusu kijichi mbona majina hamna
Kipindi chote kwa maana ipi?wakati wa kuhesabu watu siku7 au kuanzia semina kila siku 40?
Huku moshi hakuna sensa mwaka huu au? Maana hata hakuna dalili ya majina kutoka.
habari kutoka chanzo cha kuaminika:malipo ni Tsh 40,000 kwa siku.kwa kipindi chote
Makarani watarajiwa mkumbuke usaili utakuwa kwa lugha ya kigeni.
lugha ya kigeni my foot, 2metoka leo wala hamna chochote zaid ya kukagua vyeti kuandika mtaa na namba ya simu..inshort kuchoshana wakati yote tulishayajaza kwenye ile form 2liokusanya.
Labda wamepoteza baadhi ya 4pm huwez jua
nasikia kuanzia tarehe 9 sasa tupo kwenye nanenane we vipi hatuwezi kugonganisha activity unataka mkaguzi mkuu atusumbueJamani huku dodoma mbona kimya?kama kunamtu anataarifa yoyote naomba mnijuze.