Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 62,651
- 105,158
Hata pesa za serikali kuna upigaji mkubwa tu.Lakini kulikuwa na upigaji wa kutosha huko. Pesa nyingi iliishia katika kujilipa mishahara na marupurupu mengine. Ndio maana tuliishia kununuliwa vyandarua nasi kama mazuzu tunashangilia.