cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 28,902
- 78,951
Mbona hujaleta picha!? Hiyo ya kuwapa adhabu bado ni mbaya.. huyo DC lazima katenda mabaya mmekuja kutudanganya. Weka picha zote za hayo maneno yako tuyaone.. na wewe ni nani kuja kukanusha yaani cheo chako!?
Ila umeruka kuandika kilichojiri huko walipoenda kuwafata watu mnawapa adhabu kwani ameshindwa kuongea nao vizuri!? Na je ni kweli mlivuruga na kukatisha watu kununua bidhaaa? Kwanini mlipanga siku moja ya mwezi wao kujinunulia bidhaaa kama sio uonevu.
Weka picha au kideo kwani hamkurekodi tuwaone kazini hapo kusaidia!? . maelezo yako hayajitoshelezi kabisaaaaaaa kabisaaaa. Hao wanaojitokeza kwa wingi weka picha zao na majina waulizwe. Natamani mapaparazi waende huko kuhoji wananchi. Na kichurachura mliwarylukisha kilomita ngapi!? Huo ni uonevu haiendi kueleweka wanajeshi wapo eti mkaenda kusaka wananchi imekaa kiuongo.
Tetesi: - Nkasi: Mkuu wa wilaya aamuru wananchi kupewa adhabu na wanajeshi
Ila umeruka kuandika kilichojiri huko walipoenda kuwafata watu mnawapa adhabu kwani ameshindwa kuongea nao vizuri!? Na je ni kweli mlivuruga na kukatisha watu kununua bidhaaa? Kwanini mlipanga siku moja ya mwezi wao kujinunulia bidhaaa kama sio uonevu.
Weka picha au kideo kwani hamkurekodi tuwaone kazini hapo kusaidia!? . maelezo yako hayajitoshelezi kabisaaaaaaa kabisaaaa. Hao wanaojitokeza kwa wingi weka picha zao na majina waulizwe. Natamani mapaparazi waende huko kuhoji wananchi. Na kichurachura mliwarylukisha kilomita ngapi!? Huo ni uonevu haiendi kueleweka wanajeshi wapo eti mkaenda kusaka wananchi imekaa kiuongo.
Tetesi: - Nkasi: Mkuu wa wilaya aamuru wananchi kupewa adhabu na wanajeshi