Je Lowasa mtamchukua
Je Lowasa mtamchukua
Wakati mwingine usikubali tu kila knachosemwa na Makene. Yeye ni mtoto mdogo sana ndani ya CHADEMA. Mkakati wa Lowasa kuhamia CHADEMA upo kwenye High Profile
Chagadema lazima iwafie mikononi mwaka huu
..... Yeye aje tu ila asigombee urais. Kwanza inabidi akija chadema ajisafishe suala la ESCROW
Baada ya nyie kumrubuni ulitaka tumwache?Makene, CHADEMA nyie ni waongo kuanzia wewe wa kwenye nyasi hadi Mtei. Mliwahi kukanusha haya kuwa siyo ya kweli kumbe ni kweli, wizi mtupu
View attachment 267977View attachment 267977View attachment 267977
Chagadema lazima iwafie mikononi mwaka huu
Makene, CHADEMA nyie ni waongo kuanzia wewe wa kwenye nyasi hadi Mtei. Mliwahi kukanusha haya kuwa siyo ya kweli kumbe ni kweli, wizi mtupu
View attachment 267977View attachment 267977View attachment 267977
Al Sahaf at work
Magamba na kundi lao ndio wanaeneza ujinga huoPia kuna taarifa zinaenea kuwa CUF wamejiondoa UKAWA kwa kushindwa kuafikiana juu ya kugawana majimbo na nafasi ya urais, ikoje hii kamanda?
Acha kuwaendekeza magamba wewe na story zao za uongo.Pia kuna taarifa zinaenea kuwa CUF wamejiondoa UKAWA kwa kushindwa kuafikiana juu ya kugawana majimbo na nafasi ya urais, ikoje hii kamanda?
Haya wee muda si mrefu mwenye macho hatakuwa na haja ya kuambiwa tazama
Richmond au Escrow...