Usahihi: Mazungumzo yanaendelea vizuri

Usahihi: Mazungumzo yanaendelea vizuri

Wakati mwingine usikubali tu kila knachosemwa na Makene. Yeye ni mtoto mdogo sana ndani ya CHADEMA. Mkakati wa Lowasa kuhamia CHADEMA upo kwenye High Profile
Hatupigagi majunju huku wala kupunga majini kama Lumumba
 
Mungu awape hekima katika kufikia maamuzi maana mkifanya maamuzi mabovu basi mjue mtapoteza dira na watanzania watapoteza imani nanyi.
 
Ukawa watagawana Mbao mda sio mrefu.

Tahadhari ukawa ukivunjika ndio mwisho wa chadema.
Na kwenye uchaguzi watatandikwa vibaya sana.
 
Pia kuna taarifa zinaenea kuwa CUF wamejiondoa UKAWA kwa kushindwa kuafikiana juu ya kugawana majimbo na nafasi ya urais, ikoje hii kamanda?
Hii habari waulize ccm na kitengo chao cha propaganda na wakuda wa ccm.
 
Tumain uko juu, chama kilijua uko vizuri kikakupa hiyo nafasi!
Asante sana tuko pamoja mkuu.
 
Kama mkimuacha Lowasa msijidanganye na kudanganya watu! Uraisi ni ndoto kwa upinzani,wala sipotezi muda wangu kwenda kupigia kura upunzani bora nibaki home tu.
 
Ucje nyamaza kuwapa wajinga upenyo wa kusambaza uongo tena
 
Nadhani kilichoelezwa ni sahihi, kwa kuwa huo uvumi wa Lowasa kuhamia chadema hauwezi kuwa ukweli, mpaka iwe utaratibu uliotangazwa na Ukawa wenyewe ya nini kinafanyika hivi sasa ndo uwe uwongo
 
Pia kuna taarifa zinaenea kuwa CUF wamejiondoa UKAWA kwa kushindwa kuafikiana juu ya kugawana majimbo na nafasi ya urais, ikoje hii kamanda?

Huo ni uongo uliopikwa usiogope ccm wanatapatapa sana kifo cha mafuriko mchezo.
 
Wakati mwingine usikubali tu kila knachosemwa na Makene. Yeye ni mtoto mdogo sana ndani ya CHADEMA. Mkakati wa Lowasa kuhamia CHADEMA upo kwenye High Profile

Tatizo unataka kulazimisha yale unayohisi wewe. Lowassa kama mtanzania huru yuko huru kwenda mahali popote anapotaka ila sio kujiunga na cdm. Na endapo atafanya hvyo basi atakua mwanachama wa kawaida sana.
 
Back
Top Bottom