Usafirishaji: Rais Samia apendelea wazawa

Usafirishaji: Rais Samia apendelea wazawa

Tatizo lenu chawa ni kutumia nguvu nyingi kuelezea vitu ambavyo kitaalamu,kisayansi,na hata kwa macho ya kawaida huwezi mwambia mtu timamu akakiona unachokisema.

Yaani unachukua mbwa,unamuweka pembe bandia halafu unapiga kelele kuwa umenunua mbuzi aliyenona,kwa akili zako zenye ufinyu wa madini unaamini na kuhisi watu wanasapoti,kuona na kuelewa upuuzi unaojaribu washawishi kuwa wanaona.

Niseme tu huu ni ukosefu wa akili kiwango cha hatari sana. Wakati kama huu ambao kila raia anashuhudia mambo ya hovyo wewe unakuja hapa jukwaani kuandika uzi ambao ni dhahiri una maudhui ya kinafiki yenye lengo la kupotosha na sio kutoa taarifa sahihi au kusema ukweli.

Huu ni ujinga sana aisee, mimi nataka watu kama wewe mleta uzi ikibidi mambo yatakapo kaa sawa muwajibishwe kisheria na kupewa adhabu kali sana ambayo itajumuisha viboko visivyopungua 30 siku unayoingia na siku unayotoka kutumikia adhabu yako ya kifungo cha miezi 6 kwa kosa la kudhalilisha hadhi ya uraia wako, kufedhehesha na kudhihaki uzalendo na uhaini dhidi ya jamii ya watanganyika.

Wewe ni mkosa akili na mpumbavu wa makusudi, MUNGU akusamehe kwa huu upotofu.
 
Tatizo lenu chawa ni kutumia nguvu nyingi kuelezea vitu ambavyo kitaalamu,kisayansi,na hata kwa macho ya kawaida huwezi mwambia mtu timamu akakiona unachokisema.

Yaani unachukua mbwa,unamuweka pembe bandia halafu unapiga kelele kuwa umenunua mbuzi aliyenona,kwa akili zako zenye ufinyu wa madini unaamini na kuhisi watu wanasapoti,kuona na kuelewa upuuzi unaojaribu washawishi kuwa wanaona.

Niseme tu huu ni ukosefu wa akili kiwango cha hatari sana. Wakati kama huu ambao kila raia anashuhudia mambo ya hovyo wewe unakuja hapa jukwaani kuandika uzi ambao ni dhahiri una maudhui ya kinafiki yenye lengo la kupotosha na sio kutoa taarifa sahihi au kusema ukweli.

Huu ni ujinga sana aisee, mimi nataka watu kama wewe mleta uzi ikibidi mambo yatakapo kaa sawa muwajibishwe kisheria na kupewa adhabu kali sana ambayo itajumuisha viboko visivyopungua 30 siku unayoingia na siku unayotoka kutumikia adhabu yako ya kifungo cha miezi 6 kwa kosa la kudhalilisha hadhi ya uraia wako, kufedhehesha na kudhihaki uzalendo na uhaini dhidi ya jamii ya watanganyika.

Wewe ni mkosa akili na mpumbavu wa makusudi, MUNGU akusamehe kwa huu upotofu.
MIMI SIO CHAWA AM SORRY
 
Upofu wa kutoona mbali.
Katika huo usafirishaji na uchukuzi, ni kwa barabara zipi?
Watu wanalia foleni kila siku.
Serikali imeshindwa kuimarisha usafiri w reli?
Kweli kukosa shule nako ni mzigo kwa Taifa.
SIO KWELI
 
Kwenye hili tunampongeza sanaa

Mambo 20 Chini ya Rais Samia​


  1. Diplomasia ya Uchumi – Amefungua Tanzania kwa dunia, kurejesha mahusiano mazuri ya kimataifa na kuvutia wawekezaji.
  2. Miradi ya Maji – Utekelezaji wa miradi mikubwa ya maji vijijini na mijini, kuhakikisha wananchi wanapata huduma safi na salama.
  3. Sekta ya Afya – Ujenzi na ukarabati wa hospitali, vituo vya afya na zahanati nchi nzima; kuongeza vifaa tiba na dawa.
  4. Sekta ya Elimu – Kuondoa ada kwa shule za sekondari hadi kidato cha sita na ujenzi wa shule mpya pamoja na mabweni.
  5. Barabara na Miundombinu – Ujenzi na ukarabati wa barabara kuu na za vijijini, madaraja na barabara za mchepuo mijini.
  6. Mradi wa Umeme Vijijini – Upanuzi mkubwa wa REA unaowafikia wananchi wengi zaidi vijijini.
  7. Umeme wa Bwawa la Julius Nyerere (JNHPP) – Kuendeleza mradi wa umeme wa megawati 2,115 kwa maendeleo ya taifa.
  8. Uboreshaji wa Shirika la Ndege (ATCL) – Kununua ndege mpya na kuongeza safari za kimataifa.
  9. Ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) – Kuendeleza mradi wa reli ya umeme kutoka Dar es Salaam hadi Mwanza.
  10. Uwekezaji katika Bandari – Kuboresha bandari za Dar es Salaam, Tanga na Mtwara ili kuongeza biashara na mapato.
  11. Ajira kwa Vijana – Kupitia miradi ya kilimo (Building a Better Tomorrow – BBT) na sekta nyingine.
  12. Kilimo na Chakula – Kutoa ruzuku ya mbolea na pembejeo, kuanzisha Programu ya Kilimo cha Kibiashara.
  13. Mikopo ya Halmashauri 10% – Kuimarisha upatikanaji wa mikopo kwa vijana, wanawake na walemavu.
  14. Mapambano dhidi ya Ufisadi na Rushwa – Kuimarisha uwajibikaji na uwazi katika taasisi za umma.
  15. Sekta ya Madini – Kuboresha mikataba ya madini ili Tanzania inufaike zaidi.
  16. Michezo na Sanaa – Kuwezesha vijana kushiriki kimataifa na kuanzisha mfuko wa kuendeleza sanaa.
  17. Afya ya Mama na Mtoto – Kujenga vituo vya kisasa vya huduma ya dharura na kuongeza watoa huduma.
  18. Mfumo wa Kidigitali Serikalini – Kuongeza matumizi ya TEHAMA katika utoaji huduma.
  19. Utalii na Hifadhi za Taifa – Kutangaza Tanzania kimataifa kupitia filamu, promosheni na uwekezaji.
  20. Amani na Umoja wa Kitaifa – Kuimarisha mshikamano wa kijamii, kisiasa na kuendeleza majukwaa ya mazungumzo ya kitaifa.
 

Mambo 20 Chini ya Rais Samia​


  1. Diplomasia ya Uchumi – Amefungua Tanzania kwa dunia, kurejesha mahusiano mazuri ya kimataifa na kuvutia wawekezaji.
  2. Miradi ya Maji – Utekelezaji wa miradi mikubwa ya maji vijijini na mijini, kuhakikisha wananchi wanapata huduma safi na salama.
  3. Sekta ya Afya – Ujenzi na ukarabati wa hospitali, vituo vya afya na zahanati nchi nzima; kuongeza vifaa tiba na dawa.
  4. Sekta ya Elimu – Kuondoa ada kwa shule za sekondari hadi kidato cha sita na ujenzi wa shule mpya pamoja na mabweni.
  5. Barabara na Miundombinu – Ujenzi na ukarabati wa barabara kuu na za vijijini, madaraja na barabara za mchepuo mijini.
  6. Mradi wa Umeme Vijijini – Upanuzi mkubwa wa REA unaowafikia wananchi wengi zaidi vijijini.
  7. Umeme wa Bwawa la Julius Nyerere (JNHPP) – Kuendeleza mradi wa umeme wa megawati 2,115 kwa maendeleo ya taifa.
  8. Uboreshaji wa Shirika la Ndege (ATCL) – Kununua ndege mpya na kuongeza safari za kimataifa.
  9. Ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) – Kuendeleza mradi wa reli ya umeme kutoka Dar es Salaam hadi Mwanza.
  10. Uwekezaji katika Bandari – Kuboresha bandari za Dar es Salaam, Tanga na Mtwara ili kuongeza biashara na mapato.
  11. Ajira kwa Vijana – Kupitia miradi ya kilimo (Building a Better Tomorrow – BBT) na sekta nyingine.
  12. Kilimo na Chakula – Kutoa ruzuku ya mbolea na pembejeo, kuanzisha Programu ya Kilimo cha Kibiashara.
  13. Mikopo ya Halmashauri 10% – Kuimarisha upatikanaji wa mikopo kwa vijana, wanawake na walemavu.
  14. Mapambano dhidi ya Ufisadi na Rushwa – Kuimarisha uwajibikaji na uwazi katika taasisi za umma.
  15. Sekta ya Madini – Kuboresha mikataba ya madini ili Tanzania inufaike zaidi.
  16. Michezo na Sanaa – Kuwezesha vijana kushiriki kimataifa na kuanzisha mfuko wa kuendeleza sanaa.
  17. Afya ya Mama na Mtoto – Kujenga vituo vya kisasa vya huduma ya dharura na kuongeza watoa huduma.
  18. Mfumo wa Kidigitali Serikalini – Kuongeza matumizi ya TEHAMA katika utoaji huduma.
  19. Utalii na Hifadhi za Taifa – Kutangaza Tanzania kimataifa kupitia filamu, promosheni na uwekezaji.
  20. Amani na Umoja wa Kitaifa – Kuimarisha mshikamano wa kijamii, kisiasa na kuendeleza majukwaa ya mazungumzo ya kitaifa.
 
Back
Top Bottom