Ndio mkuu. Wapate hela ya kurudisha walikokopa.Tanzania hii daraja linalipiwa tena
god is good
So it's must kila seat ibebe mtu mmojaHayo yote kupoteza mda serikali bado ijafanya kazi yake ya kuzuia kuenea kwa gonjwa hi la covid 19, distancing inayo hitajika ni mita moja kutoka mtu kwa mtu......
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni bora serikali wafanye wasitishe watu wote wasiende makazini ili kuepusha kuenea kwa ugonjwa wa Corona kuliko kuzuia usafiri wa umma uwe level seat.
Leo kuna adha kubwa ya usafiri kwa sababu ya level seat. Ni hatari sana kwa maendeleo ya uchumi
kitochi
Co poah kabsa wananchi wanaumia sana yaniNapata kusita sita ninunue bus
Hata level seat bado sio suluhuhisho!
the issue hasara maana Madereva sio watu wazuriCo poah kabsa wananchi wanaumia sana yani
god is good
Aangalie huko India, Uganda,SA watu wanavopata shda ndo ataregreat anachosema
the issue hasara maana Madereva sio watu wazuri
Hasara kivipi?the issue hasara maana Madereva sio watu wazuri
Kuwa serious mkuu.Ni bora serikali wafanye wasitishe watu wote wasiende makazini ili kuepusha kuenea kwa ugonjwa wa Corona kuliko kuzuia usafiri wa umma uwe level seat.
Leo kuna adha kubwa ya usafiri kwa sababu ya level seat. Ni hatari sana kwa maendeleo ya uchumi
kitochi
Sio rahisi kihivyoHuu utaratibu usiishe uwe endelevu hata corona ikiisha. Tutakuwa kama mbele vile.
Yaani kutokwenda kabisa kazini Ina athari ndogo kiuchumi kuliko kwenda kwa kuchelewa.. Wazo lako ni ngumu kulielewa kama sio daktari wa falsafaNi bora serikali wafanye wasitishe watu wote wasiende makazini ili kuepusha kuenea kwa ugonjwa wa Corona kuliko kuzuia usafiri wa umma uwe level seat.
Leo kuna adha kubwa ya usafiri kwa sababu ya level seat. Ni hatari sana kwa maendeleo ya uchumi
kitochi
Naunga mkono hojaHuu utaratibu usiishe uwe endelevu hata corona ikiisha. Tutakuwa kama mbele vile.
Ni ndogo au chache?Mbona ziko ndogo sana
god is good