Usafiri wa umma watakiwa kubeba abiria kwa idadi ya viti 'Level Seat' ili kupambana na mlipuko wa Virusi Corona

unajua madhara ya watu kuacha kufanya kazi kwa siku moja tu?
Ni bora serikali wafanye wasitishe watu wote wasiende makazini ili kuepusha kuenea kwa ugonjwa wa Corona kuliko kuzuia usafiri wa umma uwe level seat.

Leo kuna adha kubwa ya usafiri kwa sababu ya level seat. Ni hatari sana kwa maendeleo ya uchumi

kitochi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni bora serikali wafanye wasitishe watu wote wasiende makazini ili kuepusha kuenea kwa ugonjwa wa Corona kuliko kuzuia usafiri wa umma uwe level seat.

Leo kuna adha kubwa ya usafiri kwa sababu ya level seat. Ni hatari sana kwa maendeleo ya uchumi

kitochi
Kuwa serious mkuu.
 
Jana kuna daktari wa wizara nilikua naongea nae alidai tatizo kubwa(maambukizi ni mengi kuliko inavyoelezwa)...muda wote vikao na wamesitisha ziara zao zote za mikoani kwa ajili ya korona.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni bora serikali wafanye wasitishe watu wote wasiende makazini ili kuepusha kuenea kwa ugonjwa wa Corona kuliko kuzuia usafiri wa umma uwe level seat.

Leo kuna adha kubwa ya usafiri kwa sababu ya level seat. Ni hatari sana kwa maendeleo ya uchumi

kitochi
Yaani kutokwenda kabisa kazini Ina athari ndogo kiuchumi kuliko kwenda kwa kuchelewa.. Wazo lako ni ngumu kulielewa kama sio daktari wa falsafa
 
Back
Top Bottom