Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 61,023
- 36,891
Habari wanachit chat!
Swali hili limelekezwa zaidi kwa wanaume! Nimexperience sana swala la kubambiwa kwenye daladala na huwa nakereka sana. Swali kwa wakaka!Hivi huwa mnapenda,inatokea tu, na huwa mnafaidi nini?Wadada mnaweza kuchangia pia.
lipi bora kupeana raha wawili ama hili la pyuuuuuuu pyuuuu unasikia kama tair inatoa upepo yala harufu inayokuja adi dereva anaisikiliza