Usafiri wa daladala na "kubambiana"

Usafiri wa daladala na "kubambiana"

nyie mnabambia hata slim hakuna cha bambataa wala nini nahisi kuna laana imepita kwa baadhi yenu,unakuta gari haijaja lakini mtu kang'ang'ania nyuma yako kudandia shame on you!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Mbaya zaidi pale li njemba linapokuhemea juu juu huku limekusogezea ndunde yake........yanakerajee??!!!
 
Mbaya zaidi pale li njemba linapokuhemea juu juu huku limekusogezea ndunde yake........yanakerajee??!!!
utafikiri anataka kukufia kiunoni halafu ukimtizama unamkuta ni baba mtu mzima khaaa mishipa ya aibu imeshakatika
 
Next time tembea na plaizi...mwanaume akisogeza tu mtutu wake we kimya kimya unauminya...sasa swali kwake atajibu alikuwa anafanya nini hadi mtutu ukakutana na tufani
Kuna wengine ukiwaminya wanadhani huyu
ni 'form two' na 'form two' yake ni ndogo kiasi cha kubana hivyo wanazidisha m'bambo
 
utafikiri anataka kukufia kiunoni halafu ukimtizama unamkuta ni baba mtu mzima khaaa mishipa ya aibu imeshakatika

Wajinga tu na uroho wao huo wa hovyo hovyo. Kila saa kuwaza ngono tu.......2mbavu kabisa. Mbanano wa kawaida nitauvumilia otherwise ni vipepsi tu ndo vitafuatia!
 
Wajinga tu na uroho wao huo wa hovyo hovyo. Kila saa kuwaza ngono tu.......2mbavu kabisa. Mbanano wa kawaida nitauvumilia otherwise ni vipepsi tu ndo vitafuatia!

hahahhaha sio vifanta.
 
Next time tembea na plaizi...mwanaume akisogeza tu mtutu wake we kimya kimya unauminya...sasa swali kwake atajibu alikuwa anafanya nini hadi mtutu ukakutana na tufani

unatafuta ugomvi
na dungadunga wewe hahaaaa!
 
Angalau kidogo coz nguo zingine zinasababisha njemba zipate mifadhaiko

mbona huwa sivai hizo nguo za ajabu ni laana na ushetani tu unaowasumbua hawana lolote,utafikiri makwao yamenyimwa chakula cha alfajiri kumbe yamekula hadi kuvimbiwa.
 
Kusema ukweli hii kitu inanifanya nisiwaze kabisa kununua gari. Asikwambie mtu ukiwa rijali hii lazima itokee. Majuzi jamaa alimwaga maziwa mwenge -posta wacha demu ampige mabao. Masela wakaingilia kumwokoa mshkaji. Kina dada wa hapa bongo na mavazi yenu mpandage tax au bajaj kwenye daladala mtatulaumu sana wanaume. Kumbuka you cant stop hormones from working where conditions are conducive
 
unatafuta ugomvi
na dungadunga wewe hahaaaa!

Mijanaume mingine imekosa soni, hata haya haioni. Utakuta lijanaume lasogeza mashine yake kila upande ambao mabidada wanakuwa wameegesha mawezere!!
Halafu walikuta limeshika mtalimbo wa daladala mimacho imemlegea kwa ashki za kuchobea tu makalio ya wadada.
Nakwambia dawa yao ni plaizi tu...
 
Mijanaume mingine imekosa soni, hata haya haioni. Utakuta lijanaume lasogeza mashine yake kila upande ambao mabidada wanakuwa wameegesha mawezere!!
Halafu walikuta limeshika mtalimbo wa daladala mimacho imemlegea kwa ashki za kuchobea tu makalio ya wadada.
Nakwambia dawa yao ni plaizi tu...

Nimeipenda hii ya palizi......
 
Kusema ukweli hii kitu inanifanya nisiwaze kabisa kununua gari. Asikwambie mtu ukiwa rijali hii lazima itokee. Majuzi jamaa alimwaga maziwa mwenge -posta wacha demu ampige mabao. Masela wakaingilia kumwokoa mshkaji. Kina dada wa hapa bongo na mavazi yenu mpandage tax au bajaj kwenye daladala mtatulaumu sana wanaume. Kumbuka you cant stop hormones from working where conditions are conducive

Kwendeni zenu huko!!! Kama suala ni mavazi, haya na wale wanaovaa kawaida tu kwanini bado mnawabambia sasa?? Alafu mbona wengine mnaongozana na ndugu zenu wa kike wakiwa wameubanisha kabisa na hamuwafanyii hivyo?? Hovyooooooo!!!!!
 
hahahhaha sio vifanta.

aaaahh!!! Vipepsi ndo mpango mzima, tena unalenga pale penyewe kabisa. We unakuwa kama unajirekebisha rekebisha alafu unampiga cha uhakika kabisa mpaka wazee wanaitika.
 
hii kitu huwa inanoga pale unapokutana na mfungashio wa nguvu. Utata ni pale ninapopanda na my wife halafu nikaona njemba linataka kubambia eti kisa gari limejaa lazima nimlinde

KOPI sweetlady.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom