Usafiri wa daladala na "kubambiana"

Usafiri wa daladala na "kubambiana"

Brainy Chick

Member
Joined
Mar 9, 2013
Posts
64
Reaction score
21
Habari wanachit chat!

Swali hili limelekezwa zaidi kwa wanaume! Nimexperience sana swala la kubambiwa kwenye daladala na huwa nakereka sana. Swali kwa wakaka!Hivi huwa mnapenda,inatokea tu, na huwa mnafaidi nini?Wadada mnaweza kuchangia pia.
 
Next time tembea na plaizi...mwanaume akisogeza tu mtutu wake we kimya kimya unauminya...sasa swali kwake atajibu alikuwa anafanya nini hadi mtutu ukakutana na tufani
 
hii kitu huwa inanoga pale unapokutana na mfungashio wa nguvu. Utata ni pale ninapopanda na my wife halafu nikaona njemba linataka kubambia eti kisa gari limejaa lazima nimlinde
 
kweli inakera, lakini muda mwingine wadada ndio wanasababisha mbanano kusudi, hivi unajua wadada wengine wanafanya kusudi ili jamaa wapate mfandhaiko ili wao wanufaike? unalijua hilo...?
 
hii kitu huwa inanoga pale unapokutana na mfungashio wa nguvu. Utata ni pale ninapopanda na my wife halafu nikaona njemba linataka kubambia eti kisa gari limejaa lazima nimlinde
utabambia sana mpaka mtoto akue .anyway hongera zako nitonye mtoto tumwite (abraham- baba wa mataifa yote au sio)
 
Last edited by a moderator:
Kubambia hadi raha tena hasa pale dereva akiminya break na wewe unaongeza na ya kwako,,,Tahadhari kwa afya yako km ww ni Dungadunga
 
Mwambie mmeo awe anakupa pesa ya tax au bajaj vinginevyo tutaendelea kukunoma, maumbo mengine yanatisha.
 
hii kitu huwa inanoga pale unapokutana na mfungashio wa nguvu. Utata ni pale ninapopanda na my wife halafu nikaona njemba linataka kubambia eti kisa gari limejaa lazima nimlinde

Uzoefu wangu unaonyesha wanawake wenye mabambataa ndo huwa wanabambiwa, vp mama kichanga nae wamo nitonye? Samahani lakini
 
Last edited by a moderator:
nyie mnabambia hata slim hakuna cha bambataa wala nini nahisi kuna laana imepita kwa baadhi yenu,unakuta gari haijaja lakini mtu kang'ang'ania nyuma yako kudandia shame on you!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
nyie mnabambia hata slim hakuna cha bambataa wala nini nahisi kuna laana imepita kwa baadhi yenu,unakuta gari haijaja lakini mtu kang'ang'ania nyuma yako kudandia shame on you!!!!!!!!!!!!!!!!!!
jamani Asnam mmmh!
 
Last edited by a moderator:
kweli inakera, lakini muda mwingine wadada ndio wanasababisha mbanano kusudi, hivi unajua wadada wengine wanafanya kusudi ili jamaa wapate mfandhaiko ili wao wanufaike? unalijua hilo...?
matokeo yake unamwaga maziwa kwnye boxer
 
nyie mnabambia hata slim hakuna cha bambataa wala nini nahisi kuna laana imepita kwa baadhi yenu,unakuta gari haijaja lakini mtu kang'ang'ania nyuma yako kudandia shame on you!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Dooooh haa hah haa vipi ishakutokea mara ngapi ndugu yangu?
 
Back
Top Bottom