PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,725
Wakuu,
Habari zenu.
Niko kwenye basi nikisafiri toka Moshi kuelekea Chalinze.
Tukiwa eneo la Mombo,kwenye kibao cha Hifadhi ya Taifa ya Mkomazi, tumesimamishwa na polis na jamaa wengine waliovaa kiraia. Wameingia kwny basi na kuanza kunusa mabegi ya abiria kwa kutumia pua zao, eti wanakagua madawa ya kulevya. Kitendo cha kutumia pua ndicho kilichovutia abiria kubaki na mshangao.
Wajuzi wa mambo, hii maneno kweli ni sawa, na je ndiyo weledi wa taaluma hii?
Habari zenu.
Niko kwenye basi nikisafiri toka Moshi kuelekea Chalinze.
Tukiwa eneo la Mombo,kwenye kibao cha Hifadhi ya Taifa ya Mkomazi, tumesimamishwa na polis na jamaa wengine waliovaa kiraia. Wameingia kwny basi na kuanza kunusa mabegi ya abiria kwa kutumia pua zao, eti wanakagua madawa ya kulevya. Kitendo cha kutumia pua ndicho kilichovutia abiria kubaki na mshangao.
Wajuzi wa mambo, hii maneno kweli ni sawa, na je ndiyo weledi wa taaluma hii?